Mapenzi ni shida...

Mapenzi ni shida...

Yaani maamuzi ya kupiga chini ndiyo sahihi kabisa nami naafiki maana sidhani kama usumbufu huuu utakwisha , amenifanya mpaka hamu ya sex ikate kabisa maana nawaaza sana bi dada ana maanisha nini kwa matendo haya !!nilitegemea kuona mchango unaosema huyo hana mapenzi namii na hakika ndicho kitu kilichopo !!!!!!! nasubiri michango yenu zaidi, ingawa ana sms sana na cm kwa wingi sasa nipo njia panda kwa kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Una miaka mingapi?
Why mtoto wa kiume unajiita 'umbea'?
 
Endelea kumsikiza anavyotaka kila muwapo faragha
 
Naona nguvu zinaniishia lazima nifanye maamuzi sahihi otherwise nitajikwamisha mambo mengi maana kutwa unamuwaza yeye , ingawa inauma lakini lazima nifanye maamuzi wakuuuuuu!
 
Kuna mpigania uhuru hapa nimemuomba anisaidie ushauri nikupe akasema kinachokusumbua wewe ni umri.
 
umri ukoje utoto au uzeee maana nina miaka 37 sasa umri unakuaje hapo?
 
Jamani cyo nataka kumuoa hilo halipo kinachosumbua ni ile hali ya on / off inanifanya nikose hata hamu kuwa kwenye love game, kama kuna mawazo zaidi nayakaribisha
 
Jamani cyo nataka kumuoa hilo halipo kinachosumbua ni ile hali ya on / off inanifanya nikose hata hamu kuwa kwenye love game, kama kuna mawazo zaidi nayakaribisha
We si ushagonga shida iko wapi?

Akizingua mpotezee
 
Back
Top Bottom