Mapenzi ni pasua kichwa. Siamini

Mapenzi ni pasua kichwa. Siamini

Akakushika bega Mara mimba
Kwahuruma Sana mtafunga ndoa
Akakushika kwato round hii
 
Baada ya kunicha kwa dharau na nyodo me maisha kidogo yakawa mazuri miaka mitatu baadae nakuja kukutana na huyu bi dada maeneo fulani kweli nilimsahau hadi sura yake akanishika bega kwasababu nimpita bila kumtambua."jamani Denis ndio hunioni au unajifanyisha." dah!

Nilishangaa sana nikawa navuta kumbumkumbu, nilisikitika sana nilipomkumbuka, hakuwa tena yule Nancy aliyekuwa anatikisa mtaa kwa urembo alokuwa nao, daah! Nilijawa na huruma sana, kufupisha.

Nilimsamehe kwa yote baadae nashtuka anasema ana mimba yangu dah! Nilifikiria sana.. Anasisitiza sana tufunge ndoa ili mtoto azaliwe ndani ya ndoa, lakini me nahisi hii mimba kaja nayo nifanyeje nipeni ushauri
kwahyo mimba ilikaa miaka mi3 inasubiri ije ikutane na ww sio

chai ya moto kabisa hii
 
Baada ya kunicha kwa dharau na nyodo me maisha kidogo yakawa mazuri miaka mitatu baadae nakuja kukutana na huyu bi dada maeneo fulani kweli nilimsahau hadi sura yake akanishika bega kwasababu nimpita bila kumtambua."jamani Denis ndio hunioni au unajifanyisha." dah!

Nilishangaa sana nikawa navuta kumbumkumbu, nilisikitika sana nilipomkumbuka, hakuwa tena yule Nancy aliyekuwa anatikisa mtaa kwa urembo alokuwa nao, daah! Nilijawa na huruma sana, kufupisha.

Nilimsamehe kwa yote baadae nashtuka anasema ana mimba yangu dah! Nilifikiria sana.. Anasisitiza sana tufunge ndoa ili mtoto azaliwe ndani ya ndoa, lakini me nahisi hii mimba kaja nayo nifanyeje nipeni ushauri
Kwahiyo hiyo mimba ina miaka mitatu.
 
...polee sanaa apo bro itabidi ustuke tena kama pale alipokushika begaa..
 
Back
Top Bottom