Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218
Bado kuna wale ambao huwajui ila washakukula, yaani humu sijui kuna majini mahaba!!!Habari hizi na mimi kwangu mpya. Watu wananijua vizuri kweli mpaka naliwa wao wanajua mi sijui. Long Live JF
Bado kuna wale ambao huwajui ila washakukula, yaani humu sijui kuna majini mahaba!!!Habari hizi na mimi kwangu mpya. Watu wananijua vizuri kweli mpaka naliwa wao wanajua mi sijui. Long Live JF
Labda wanataka nimuache kwa kutangaza gonjwa langu. Ila ndo simwachi hivyoo tunavumiliana wenyewekwanini wamemsingizia jamani kuwa anatangaza

Hahahahaaa!!Ndiwooo. Mara paap papuchi langu hili hapa na najishaua sijaliwa. Ndo maana nimesema nilisahau kama nimeliwa. Nawashukuru walionikumbusha![]()
Hahaahaaaaa!!! Myuesiei kwakweli nimempenda, ila akishakula papuchi ndio anakumbuka ulikuwa unanuka mdomoulifkili uongo anakwambia ukinishobokea nakukula tu hata kama upoje mm naangalia tu una papuchi basi mengine hayanihusu

Yaani Melo natamanigi nikimuona nimpe shukrani za dhati sema basi tuu. Melo anatusaidia sana kuishiHahaaaahaa!jamani thank u melo kwa kutuwekea jf looohh
Ujue myueseii hawezi pata dhambi kwa Mungu kabisa hawezi mnyima mwanamke dyudyu na wakati anayo yaan anayafanyia kazi maandiko vizuri me nampenda tu na mm itabidi siku anikule tu hakuna namna auntie espy ukitoka wewe inabidi niingie mmSio vizuri kuingizana majaribuni ujue!!
Auntie naanzaje kutokulwa ule mchezo wa kukulana ulivyo mtamu vileOooh hapo sawa. Ningefuta ukoo na wewe kama hukulwi.
Kukulana kawaida, shida kuanza kutangazana wakati utamu tulipata wote.Hahahaaa!kwani kuliwa dhambiii!
Sisi sote binadamu tuna hisia haswaa mkikutana +ve na -ve charges chochote kinatokea
Bado kuna wale ambao huwajui ila washakukula, yaani humu sijui kuna majini mahaba!!!




Bado kuna wale ambao huwajui ila washakukula, yaani humu sijui kuna majini mahaba!!!





wanakujuwa kuliko unavyojijuwa
Labda wanataka nimuache kwa kutangaza gonjwa langu. Ila ndo simwachi hivyoo tunavumiliana wenyewe![]()









Yap ndo akule nyamaMwenye kisu kikalii eeehh!
Mwenzio mjasiriamali nauza miswaki ujue, usiniharibie biashara.yaan wamtake radhi ndugu yangu harufu ya mdomo hapana jamani kwa ustar wake tungeshamsoma kwa mange waniachie ndugu yangu
Hahahahahah ndio jf yetu hiiUmeona eeeeehhh!hahahaaaa