Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,736
Weee. Ufahari kuliwa na mtu napanda Ndege. Ulikua hujui. Karibuni mliwe na nyie msafishe nyotaaHivi ni ufahari eeeh? Ngoja nami nikazane kalist kajae jae.
Weee. Ufahari kuliwa na mtu napanda Ndege. Ulikua hujui. Karibuni mliwe na nyie msafishe nyotaaHivi ni ufahari eeeh? Ngoja nami nikazane kalist kajae jae.
@sumbai atakuwa anajua maana alikuwa busy anaomba nae atumiwe picha.






picha ya nini
Na ambavyo hawawezi kuachana hata baada ya maneno mengi kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki










Hahahaaaa!toba ilayh kumbeeee!
Bas wameliwa wengiii








myuesiei ana list yake me nampenda tu jamaniNataka nifanye mapinduzi na mimi ili iwe ufahari kwa wanawake pia.Kwa wanaume fakhari haswaa
Nakazia hapo. Mtoa mada apitie hapo.Na ambavyo hawawezi kuachana hata baada ya maneno mengi kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki
Mi naoja tu nakuachia shoga, kizuri kula na nduguyo.Ntakupa sema na mie nipo ndo shida![]()
MfyuuuuuuuuWeee. Ufahari kuliwa na mtu napanda Ndege. Ulikua hujui. Karibuni mliwe na nyie msafishe nyotaa





Hahaahaa!nipe ramani basi tuonje pepoooo!!!
Nataka nifanye mapinduzi na mimi ili iwe ufahari kwa wanawake pia.








Nilikua naandaa makaratasi ya kumtenga undugu. Basi kaponaKaja namuuliza hata hajui.
Abarikiwe kwakweli.Hahaaaahaa!jamani thank u melo kwa kutuwekea jf looohh
Hahahaahaa!naonekana chizi hapa nacheka kinomaa





vinachekesha sana yaani jf unaongelewa jamani kama wanakujua kumbe wanakuona kwa picha tuSio vizuri kuingizana majaribuni ujue!!Hana tatizo. Na ana huruma. Ukitaka huduma anakupa ana roho nzuri sana jamani![]()
Oooh hapo sawa. Ningefuta ukoo na wewe kama hukulwi.Kukulwa nakulwa jamani
AiseeèhAlafu aje aseme alinikula kwa taabu maana nafanana na babu mzaa bibi!!!!