Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,222
Kwa vile pesa wanazo wao ikabidi niwapende na wao outomaticaly!!We sema unapenda pesa zao baasi
Kwa vile pesa wanazo wao ikabidi niwapende na wao outomaticaly!!We sema unapenda pesa zao baasi
Kwa hiyo hujui hisia ndo ndo tatizo lenyewe?Daby hisia ambazo zinaweza kuleta matatizo makubwa ktk jamii hisia gani hizo?
I don't understand it!!unajikuta unamuwaza mtu muda wotee tuu!
Nimeshangazwa na upotevu wako sikuhizi hata wakumuuliza sina tenaNipo mzee baba.... Uzi wa leo leo
Msalimu bwanaaseee hana usemi chief,
yupo tu anafurahi
sawa chiefMsalimu bwana
Hahaha tunataka tupashe kiporo ni long time bhanaHahaaaa!loh
Wacha we!!
Mkuu una manisha watu walio na pesa wote huwa hawana upendo wala hawajui kupenda tu ni deap???weka usibitisho hapaKama una umizwa na mapenzi moja tambua huwezi kuwa tajiri, unless uwe umerithi pesa au ushinde bingo la tatu mzuka au biko.
Watu wenye akili nyingi huwa hawaumizwi kivile na ujinga huu eti mapenzi..
Hahaaaaa!!! Alafu wewe!!Ndo Ana dau kubwa?!
Ukiwazacho sichoWacha we!!