Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,279
Pole, web ina raha na kero zake km app tu.App mimi imegoma hapa natumia web sipendagi
Pole, web ina raha na kero zake km app tu.App mimi imegoma hapa natumia web sipendagi
Hivi wewe si uko unamuwaza tuuu mtu!! Haya umeyaonaje?Duniaaa simama nishukeee!nielekee Uranus
Ahasante mimi naona kero zaidi kwenye webPole, web ina raha na kero zake km app tu.
Macho yasikushinikize fwata maelekezo yanguHahaaaa!looh!mdada huyu!
Bora nishuke maana kugeuka siwezi macho yana wivuu!
Kwahiyo utakuwa unaosha vyombo?Tukiosha hivyo vyombo ulivyoniambia hapo juu utaisha![]()
Hahahaaaa!! Umewahi kuta watu wanapiga umbea kwa codes alafu huuelewi!! Inauma hiyoHuu ndo umbea huu hahahaaa
Bado malizia na mpaka kuingiza hisia kali kufikia kuua au kujiuaTafsiri ya mapenzi ni pana sana...
Kwa tafsiri isiyo rasmin... mapenzi ni hali ya macho kuona na kuvutiwa na inachokiona, moyo kutamani na kupendezwa kua nacho hicho kilichoonwa na macho, akili kujenga taswira nzuri na ya kuvutia hatimae kukipenda hicho kitu...
Cc: mahondaw
Na ndoma nikakuhusia iache iendezake ha ha haaaHahaaa!dunia haiishi vituko
Huh!!Hajatulia kabisa ha ha haaa wakianza kubebishana wewe fanya kugeukia huku tu Dunia iache indelee na safari
Saana... Viwe vya kunanihii tuKwahiyo utakuwa unaosha vyombo?
Nimefanyaje tena!!!Hahaaaa!looh!mdada huyu!
Bora nishuke maana kugeuka siwezi macho yana wivuu!
Wadau hivi tafsiri sahihi ya mapenzi haswa ni nini?
Wanasema mapenzi yanarun dunia ni kweli?
Kwa nini ukimpenda mtu unamtamani muda wote?
Hivi kwa nini mwingine anaua au kuuwawa kisa mapenzi?
Kwa nini wengine wanaona wengine wanaachana?
Hivi kwa nini baadhi hujinyonga eti kisa mapenzi!?
Mapenzi yanaishi au hupatikana wapi?moyoni,machoni,akilini au mwilini?
Kwa nini wapo husema mapenzi pesa wengine husema mapenzi akili?
Hivi haya ni kitu gani?
Mapenzi ya DHATI ni yapi?
Jamani kwa nini wengine wanapendwa wasipopendwa?huku wengine wanapendana wote?
Hivi unaweza kumdhuru au kumsaliti unayempenda kwa dhati?
Unaweza penda mume au mke wa mtu?
Unawezaje penda mtu usiemfahamu?
Aiseee!mapenzi jamani!