Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Walah sina gharamaMkuu,huna garama nijisogeze meza ya bwana?
Walah sina gharamaMkuu,huna garama nijisogeze meza ya bwana?
Ngoja nijipange...Walah sina gharama
Kuwa msafi,mchangamfu,na uumpe furaha pale anapopitia magumu na hata kama anakutenda mabaya usikasirike we kuwa tu mwenye furaha;hapo lazima aridhike na kutulia na wewe.Mkuu hapa anasema mke hahimili vishindo vyake,
mwingine anasema amefata mrembo mpya,
Mwingine msambwada........na mengine mengi
Wamamama tulioolewa sijui tuwatendee nini waume zetu waridhike😎😎
Unadhani wote wanachepuka?story z vijiweni hizi zisikutishe.Mkuu hapa anasema mke hahimili vishindo vyake,
mwingine anasema amefata mrembo mpya,
Mwingine msambwada........na mengine mengi
Wamamama tulioolewa sijui tuwatendee nini waume zetu waridhike😎😎
Daah utakuta bi mkubwa anashindia nyanya
Hakika, kumbe wanaitana mabaharia online tuu hahahaaaaUnadhani wote wanachepuka?story z vijiweni hizi zisikutishe.
Ningetamani nimuoe mkuu ila changamoto iliyopo nilishaoa mkuu
Ndio hivyo mkuu inabidi iwe hivyo tuMchepuko![]()
Kabisaa wasikutisheHakika, kumbe wanaitana mabaharia online tuu hahahaaaa
Mwanaume akichepuka haachwi ila mwanamke anaachwa bila tarakaMkuu hapa anasema mke hahimili vishindo vyake,
mwingine anasema amefata mrembo mpya,
Mwingine msambwada........na mengine mengi
Wamamama tulioolewa sijui tuwatendee nini waume zetu waridhike![]()