Mapenzi ni madawa ya kulevya tena makali sana

Mapenzi ni madawa ya kulevya tena makali sana

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
8,033
Reaction score
13,350
Habari zenu Grear thinkers


Mapenzi ni mazuri na ni matamu sana pia yanaumiza haswa,ni matamu pale unapoona yanakufit kwa namna yako na jinsi unavyo ya tafsiri,

Mapenzi hayana tofauti na matumizi ya madawa ya kulevya, ukiyashiriki jua umeshajitoa na kuruhusu kila kitu chako kiathirike na matokeo yake,
Mtumiaji wa madawa kwa hali yoyote atafanya vyovyote apate ela anunue kete avute ili afurahie utamu na kupooza alosto yake


Sasa kwetu kwa sisi tunaotumia mpenzi kama madawa yetu inatupasa kutafuta kile ambacho kinaweza nunua na kukupatia tulizo la alosto yako, yaweza kuwa ni hela,au kitu kingine ila kumbuk akuna madawa ya kulevya ya bure au ya kukopeshwa hakuna



Na ndo maana akija mtu hapa atatoa vigezo vyake izo ndo gharma za mapenzi so ni lazima kuziheshimu,kama huna na huziwezi basi usichague mapenzi kuwa kama madawa yako ya kulevya unaweza tafuta kingine chenye gharma nafuu zaidi



Siku zote kuacha madawa ya kulevya ni shughuli haswa tena pale yanapokukolea na kuzoeana na damu yako, na ndo ilivyo katika mapenzi kuachana nayo ni ngumu maana ndo maisha yetu ya kila siku


Mwanaume ni kiumbe wa thamani sana nimepewa kila kitu na mamlaka yote, huyu mwanamke ni sehemu yangu ya mwili wangu yatupasa kuwaangalia/kuwajali kabla au baada yao kujijali wenyewe


Mfano unaweza kuwashwa mguuni ukiwa umesimama unaweza tumia mguu mwingine kujikunia hivyo ndo jinsi viungo vinavyosaidiana, na hawa wanawake kama viungo vyetu wanayoweza kufanya wenyewe wafanye ambayo hawawezi ndio tunawasaidia


Mapenz ni madawa ya kulevya ukitaka alosto yako itimilizwe basi fanya kuigharamia kwa hali na mali, usifikiri alosto itatimilizwa bila gharma utapata vinavyo athiri mwili


Kijana unaengia ktk mapenzi au ulie katk mapenzi unavyopata vya bure jua utavilipa kama si kikawaida basi in hardway, usikubali kukopeshwa


My fellow usikubali mapenzi yakutese hadi yavuke mipaka hasa kwa mwanaume, jivue move on akutaki mapenzi yameisha angalia sehemu ingine enjoy, najua utasema ooh ni kazuri,kana shape,kana mguu mzuri,kana sauti nzuri n.k phuk youu **** ni ile ile bruuh, angalia uzaifu wako then ufanyie kazi uwe sawa angalia mwingine


Nawapenda sana since 2014 jf #bloodsubscribed
 
Habari zenu Grear thinkers


Mapenzi ni mazuri na ni matamu sana pia yanaumiza haswa,ni matamu pale unapoona yanakufit kwa namna yako na jinsi unavyo ya tafsiri,

Mapenzi hayana tofauti na matumizi ya madawa ya kulevya, ukiyashiriki jua umeshajitoa na kuruhusu kila kitu chako kiathirike na matokeo yake,
Mtumiaji wa madawa kwa hali yoyote atafanya vyovyote apate ela anunue kete avute ili afurahie utamu na kupooza alosto yake


Sasa kwetu kwa sisi tunaotumia mpenzi kama madawa yetu inatupasa kutafuta kile ambacho kinaweza nunua na kukupatia tulizo la alosto yako, yaweza kuwa ni hela,au kitu kingine ila kumbuk akuna madawa ya kulevya ya bure au ya kukopeshwa hakuna



Na ndo maana akija mtu hapa atatoa vigezo vyake izo ndo gharma za mapenzi so ni lazima kuziheshimu,kama huna na huziwezi basi usichague mapenzi kuwa kama madawa yako ya kulevya unaweza tafuta kingine chenye gharma nafuu zaidi



Siku zote kuacha madawa ya kulevya ni shughuli haswa tena pale yanapokukolea na kuzoeana na damu yako, na ndo ilivyo katika mapenzi kuachana nayo ni ngumu maana ndo maisha yetu ya kila siku


Mwanaume ni kiumbe wa thamani sana nimepewa kila kitu na mamlaka yote, huyu mwanamke ni sehemu yangu ya mwili wangu yatupasa kuwaangalia/kuwajali kabla au baada yao kujijali wenyewe


Mfano unaweza kuwashwa mguuni ukiwa umesimama unaweza tumia mguu mwingine kujikunia hivyo ndo jinsi viungo vinavyosaidiana, na hawa wanawake kama viungo vyetu wanayoweza kufanya wenyewe wafanye ambayo hawawezi ndio tunawasaidia


Mapenz ni madawa ya kulevya ukitaka alosto yako itimilizwe basi fanya kuigharamia kwa hali na mali, usifikiri alosto itatimilizwa bila gharma utapata vinavyo athiri mwili


Kijana unaengia ktk mapenzi au ulie katk mapenzi unavyopata vya bure jua utavilipa kama si kikawaida basi in hardway, usikubali kukopeshwa


My fellow usikubali mapenzi yakutese hadi yavuke mipaka hasa kwa mwanaume, jivue move on akutaki mapenzi yameisha angalia sehemu ingine enjoy, najua utasema ooh ni kazuri,kana shape,kana mguu mzuri,kana sauti nzuri n.k phuk youu **** ni ile ile bruuh, angalia uzaifu wako then ufanyie kazi uwe sawa angalia mwingine


Nawapenda sana since 2014 jf #bloodsubscribed
Mapenzi Ni NATURAL mkuu, na madawa ni TOFAUTI KABISA.

unaweza kuishi bila madawa, lakini huwezi kuishi bila mapenzi.... Ila ukiyaendekeza na ukakosea njia zake ndio yatakuwa sumu.

Maana hata chakula huenda kikawa sumu.



NI MTAZAMO WANGU TU LAKINI
 
Mapenzi Acheni tu yaitwe mapenzi..... Niliapa sitopenda tena mimi yaani wanaume nilikuwa nawaona kama wadudu ehehehehhe nishapenda tena kwa kiwango cha 5G
 
Kwanza ukiingia kwenye mahusiano ujue kuna hali tatu lazima izipitie, raha,maumivu na kufunzwa
 
Mapenzi Ni NATURAL mkuu, na madawa ni TOFAUTI KABISA.

unaweza kuishi bila madawa, lakini huwezi kuishi bila mapenzi.... Ila ukiyaendekeza na ukakosea njia zake ndio yatakuwa sumu.

Maana hata chakula huenda kikawa sumu.



NI MTAZAMO WANGU TU LAKINI
Unaweza kuishi bila mapenzi ukifungwa jela maisha huwezi kuwa na mapenz labda ujipenzie mwenyewe
 
Kwanza ukiingia kwenye mahusiano ujue kuna hali tatu lazima izipitie, raha,maumivu na kufunzwa
Safi kabisa na zote yapaswa kuzi accept either kwa kawaida or in hardway,na lazima zote zitick ili kukamilisha
 
Back
Top Bottom