CharmingLady JF-Expert Member Joined Apr 16, 2012 Posts 18,304 Reaction score 12,997 Feb 11, 2014 #81 gfsonwin said: usijali Mungu naye husema hivi 'nitakutumia msaada toka patakatifu pangu' Click to expand... Ameen dada mkubwa, Mungu ni mwema na ndiye mpangaji wa kila kitu!!
gfsonwin said: usijali Mungu naye husema hivi 'nitakutumia msaada toka patakatifu pangu' Click to expand... Ameen dada mkubwa, Mungu ni mwema na ndiye mpangaji wa kila kitu!!
fahady-8 New Member Joined Feb 10, 2014 Posts 1 Reaction score 0 Feb 11, 2014 #82 Hata mm naamin hivyo
Zamiluni Zamiluni JF-Expert Member Joined Feb 11, 2014 Posts 13,996 Reaction score 15,118 Feb 11, 2014 #83 Mapenzi yanatoka moyoni, Na masilahi hutoka mkononi. Hivyo fadhila ni shukrani za Roho (appreciations) yaani heart to heart talks....!!
Mapenzi yanatoka moyoni, Na masilahi hutoka mkononi. Hivyo fadhila ni shukrani za Roho (appreciations) yaani heart to heart talks....!!
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,357 Reaction score 108,494 Feb 12, 2014 #84 gfsonwin said: bro.......ina maana umesahau jins humu jamvini tu watu wanavyoliaga liaga kwamba wamesomeshwa wanzao wakijua watakuja kuoana?? Click to expand... Sis, hawa wanaolia sidhani kama wanazijua vizuri kanuni za mahusiano...kutoa fadhila haina maana unataka upate kitu in return.
gfsonwin said: bro.......ina maana umesahau jins humu jamvini tu watu wanavyoliaga liaga kwamba wamesomeshwa wanzao wakijua watakuja kuoana?? Click to expand... Sis, hawa wanaolia sidhani kama wanazijua vizuri kanuni za mahusiano...kutoa fadhila haina maana unataka upate kitu in return.