Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Acha uoga mkuu, stand like a man. Kila kitu kitakaa katika pattern. Ukiwa na sauti hata kama una 200 mwanamke ana 500 utamtuliza vizuri tu.
Ngoja nimutafute.. nikimupata mrejesho nitaleta ila kuna mawili afe beki au kipa..πŸ˜‚
 
Pole sana Mkuu. Nadhani bado unamsaidia kisaikolojia maana anaweza kumpata mtu ambae akashindwa kumsoma vizuri kama wewe ulivyoweza halafu mwana akajikuta katumbukia kwenye tundu la kisoro ajilaumu. Mwisho wake huyo dada ajikute anaingia kwenye same cycle aliyoingia mama ake mzazi. Huwa wanabeba hizo chuki kwa vizazi vyao. Tena kama huyo akikutwa na same situation kama ya mama ake atamlisha sumu sana mwanae
 
Tehe tehe tehe
 
Mengine yote umeeleza na ujafafanua vizuri sana.
Na paragraph ya mwisho iliokaa kwa mtindo wa swali, jibu lake lipo wazi kwenye Bible na Quran zimeelezea kwa uwazi kabisa majukumu na wajibu wa Mke kwa Mume wake na Mume kwa Mke wake
Hilo ndio kimbilio lenu wanyonge msiotaka kuangalia hali halisi ya kidunia ya leo ambapo haki sawa imetamalaki.

Ukisoma kwa makini utaelewa maana vitu viko wazi kabisa mkuu!
 
Na wa hvo ukitaka muonane wabaya muulize "kwani hyo K unaniuzia" aisee utakoma lakin ki ukweli huyo anakua Ni Malaya tu Kama wengine japo anafanya umalaya indirect ways ...Mimi wa hvo unamchakata namlipa afu tusijuane nitakutafta nikihitaji huduma tena

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Ndo maana kipindi cha mahusiano ni wakati mzuri Sana wa kusomana tabia zenu kabla hamjaingia ndoani. Mi nadhani kudate zaidi ya miaka miwili ni afya sana.
True kwa miaka hii. Ingawa watu husema kuwa mtu akidate muda mrefu sio poa ila me nasema inasaidia sana katika ku reveal character na mienendo ya mtu aliyonayo, wengi huwa hawawezi kufake muda mrefu.
 
Ni kama tu ambavyo mwanamke kumpikia na kumfulia mwanaume wake ni halali ila mwanaume kumpikia na kumfulia mwanamke wake ni kosa! How does that sound?

Halafu kumbukeni mliambiwa mle kwa jasho! Hivi hilo andiko kwanini mnajifanyaga hamlioni lakini lile la kumtawala mwanamke mnaliona wakati yameandikwa kwenye ukurasa mmoja?
 

Sina msaada nae kwa sasa ila kwa kipindi tulichokuwa pamoja kuna mengi nilijitahidi kumshahuri akiyakumbuka yatamsaidia sana na yatamjenga na kumuepusha kuingia kwenye shimo ambalo mama yake ameshaingia na kutoka hawezi.
Nilitamani sana nimsaidie zaidi lakini siwezi kuwa na mtu ambae ananihukumu na kunitreat vibaya kwa makosa ya mtu mwingine kisa tu ni same gender. Anakosea sana na ni mtu wa stress sana mda mwingi nilimvumilia sana nikiamini kuwa hatabadilika lakini hakuna mabadiliko kwenye hilo.
 
Naunga mkono hoja kuwa mwanamke ukiona anatoa hela yake kwa ME kiroho safi ujuwe mapenzi yake kwako hayana ukakasi hata chembe...
 
Kwa hyo hata K tuile kwa jasho [emoji38]

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo jinsia yenu mkifanyiwa hayo hamnaga shukurani! Ndiyo kwanza mnatoka huko mnakuja na kauli zenu za "mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja" basi sie tuna assume kuna wanawake wenzetu huko wanatusaidia kuhudumia hivyo tunarelax!
 
Ndiyo maana sipendi kutoka na mwanamke kilaza. Mtu anafanya kazi au ana hela zake kwa biashara azifanyazo lakini anataka mimi ndiyo nitumie hela zangu kumtunza yeye.....demu wa namna hii simlazii damu, namtema mara moja.
 
Kwa hii generation ukijitahidi kudate for more than 1 year na mmoja ujue umevumilia mengi sana, 2 years unaeza ukaota kipara kwa hiyo mikiki mikiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka balaa
 
[emoji23][emoji23] au anakuomba hela akakununulie zawadi
Hizi huwa zipo sana. Huwa tunatoa hela kisha tunajitoa ufahamu. Kule kwetu uswazi wanasemaga funika Kombe maisha yaendelee.
Easy life, no harm no foul
 
Jiulize kwanini hao hao wanawake mnaosema hawawapi hela wanaume zao unakuta wanawapa baadhi ya ndugu na marafiki au watu wasiojiweza tena kwa moyo mkunjufu kabisa! Instead of calling those women selfish ask yourself why!
 
Sijawahi kukutana na mwanaume ambae anaishi na mwanamke anamfulia na kumpikia na kumsaidia usafi kipindi wakiwa wachumba na huyo mwanaume asiwe anamsaidia binti pesa za mahitaji yake...... Wewe unataka kutuchanganyia mafaili hapa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…