Umeona eeh, hata mimi nimeshangaa nikamwuliza, "na wewe"?? Katika hili wanaoumia sana ni wanawake na watoto tena. Na sidhani kama ni sahihi kujiaminisha kwamba wanaume wote wataacha kwenda nje. Japo ni kosa lakini wanakwenda, sasa je uchawi uhalalishwe??
Atajali vipi wakati kaishalishwa kanyama kalovundikwa ukeni masaa 12;???? Ogopa hiyo kitu.
teh..teh...teh... mada zingine ngumu hata kuchangia kwa uhakika!
umalaya wa mtu kwa kiasi kikubwa unachangiwa na family history, kama mwanaume kwao malaya basi itakuwa hivyo na kama mwanamke kwao wamezoea kuchukua waume za watu itakuwa hivyo pia na kama ni uchawi ipo hivyo!
lakini hakuna anayerogwa bila ya yeye kuwa na asili ya uchawi huo na kulingana na miunganiko na michangano yetu asilimia zaidi ya 70 ya watanzania ni wachawi kwa njia moja au nyingine na hii inatokana kwa kurithi au kwa kufanya.
na mara nyingi watu uoana kwa koo zinazofanana.
na makubaliano mengi hufanywa na mizimu.
hivyo si swala la kumlaumu mwanamke kuwa mchawi bali aliyerogwa ndio mchawi zaidi hivyo ni vyema kushughulika kwanza na aliyerogwa katika asili zake yaani aache uchawi kuliko huyu aliye mroga ambaye kiukweli ni mtoa taarifa za kuwajulisha watu kuwa jamaa ni mchawi iko hivyo kwenye ulimwengu wa roho .
kama unabisha bisheni kwa mazoea.
mfano ,wengi wetu tumechanjwa chale na kunyweshwa dawa za eti kinga au kushiriki katika ibada za matambiko (japo maisha ya tamthilia yanatustiri hatuonekani kama watu wa kwa waganga)
sasa japo hatukuendelea na tamaduni hizi kwenye familia zetu lakini bado tunatambulika kuwa sisi ni wachawi.
hivyo tujipange upya.
Upo sahihi lkn mbona hujamgusia,mwanamke ambaye yeye katulia nyumbani lkn yy ndo anakuwa victimized kwa sababu ya mmewe?Mkuu ninaelewa sana tena sana... Nina mifano hai kibao, kama hawataki kutulia kwanini wasipigwe juju??? wakibaki kwa wake zao haya yote hayatawapata....
Kuna baadhi ya wanaume ni wa*pu*mba*vu sana ( samahani kwa kutumia maneno makali)
Huduma zote anapata kwa mkewe e.i. Chakula, malazi safi, mavazi safi, huduma ya unyumba safi, akiugua anahudumiwa bila kinyongo hata kama atakuwa hajiwezi 100% lakini mwanaume huyo huyo anasema nyumba ndogo haikwepeki. Mwisho wa siku akiwekewa vya kuwekewa watu waanze kulalamika oooh wadada/wanawake wamekuwa wachawi.
Nani chanzo kama sio upuuzi wa huyo mwanaume anayejifanya hajui kustahi tupu yake?????
Kwanini uone kosa kuroga lakini usione kosa kwa mwanaume kumsaliti mkewe...
Wakiachwa wanarudi njia kuu wadogo kama piriton... Na mpaka wakome lolest!!!!
Mkuu... Sio kwelu kwamba uchawi wa karne hii ni wa ukoo... Kuna mada moja iko Sticky jukwaa la Biashara inazungumzia uchawi wa kununua....
Kuna watu hawana asili ya uchawi ila wamejifunza au kununua ukubwani...
Kwa hiyo usijiaminishe kuwa uchawi hufuata ukoo.....
Upo sahihi lkn mbona hujamgusia,mwanamke ambaye yeye katulia nyumbani lkn yy ndo anakuwa victimized kwa sababu ya mmewe?
Mkuu ninaelewa sana tena sana... Nina mifano hai kibao, kama hawataki kutulia kwanini wasipigwe juju??? wakibaki kwa wake zao haya yote hayatawapata....
Kuna baadhi ya wanaume ni wa*pu*mba*vu sana ( samahani kwa kutumia maneno makali)
Huduma zote anapata kwa mkewe e.i. Chakula, malazi safi, mavazi safi, huduma ya unyumba safi, akiugua anahudumiwa bila kinyongo hata kama atakuwa hajiwezi 100% lakini mwanaume huyo huyo anasema nyumba ndogo haikwepeki. Mwisho wa siku akiwekewa vya kuwekewa watu waanze kulalamika oooh wadada/wanawake wamekuwa wachawi.
Nani chanzo kama sio upuuzi wa huyo mwanaume anayejifanya hajui kustahi tupu yake?????
Tena mh ninavoitafuta hyo dawa,yani sijapata tu wakunionyesha maana wakaka mmezid kucheza na mioyo ya watu,nikíipata ntakayemuwekea atalia maana nitahakikisha anajisahau hadi ye mwenyewe
Mimi niliwahi kulishwa hako kanyama mkuu!Ila sasa nimeshachomoa Mungu mkubwa!Maana ni hatari sana!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Warogwe tu mpaka watapokuwa waaminifu
Mada za leo ngumu sana ngoja niwe msindikizaji
Kadri siku zinavyozidi kusonga mbele, wanawake wanazidi kukata tamaa ya kuolewa. Silaha yao imebakia uchawi. Mfano, binti akitongozwa na kijana au mwanaume ambaye tayari yumo kwenye ndoa (inapotokea kwa bahati mbaya, amejikwaa kwa huyo binti), msichana atahakikisha huyo mwanaume anahama kwake, anakwenda kuishi na msichana huku katerekeza familia yake. Kama aliyependwa ni kijana ambaye hajaoa, basi huyo ataahirisha mipango yote na kufanya anayoelekezwa na msichana, kama alikuwa akilipa karo ya wadogo zake, inakuwa ndo mwisho. Kama alipendwa mume wa mtu, basi huyo mke wake anaugua na kufariki au anachanganyikiwa! Hii nimeishuhudia katika familia mbili. Huu ni uchawi. Wanawake, mmezidi, muache kupenda kwa ndumba, mtapendeka tu kwa kuonesha mapenzi natural ambayo si matokeo ya mitishamba!!
Nasikia sana ila mimi huwa siamini hivi vituHujawahi kusikia mambo haya mitaani mkuu??? Dunia inaangamia, labda kwa kukosa maarifa?