Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
Yaani Mkuu hii habari inaharibu kabisa. Mimi nimeshuhudia jamaa alikuwa family freind wa familia yangu, mara kajichanganya kwa kabinti, amehama kwake, tumemtoa juzi tukiwa team ya watu 6, karudi na begi. Baada ya siku mbili tu, mkewe kaanguka bafuni, kavunjika mguu kabisa, hivi sasa yupo Bugando. Mbaya zaidi huyo shemeji yangu, ananyonyesha mtoto wa miezi 4. The man wala hajali kama mkewe yupo hospitali! It pains alot!
Atajali vipi wakati kaishalishwa kanyama kalovundikwa ukeni masaa 12;???? Ogopa hiyo kitu.