Kadri siku zinavyozidi kusonga mbele, wanawake wanazidi kukata tamaa ya kuolewa. Silaha yao imebakia uchawi. Mfano, binti akitongozwa na kijana au mwanaume ambaye tayari yumo kwenye ndoa (inapotokea kwa bahati mbaya, amejikwaa kwa huyo binti), msichana atahakikisha huyo mwanaume anahama kwake, anakwenda kuishi na msichana huku katerekeza familia yake. Kama aliyependwa ni kijana ambaye hajaoa, basi huyo ataahirisha mipango yote na kufanya anayoelekezwa na msichana, kama alikuwa akilipa karo ya wadogo zake, inakuwa ndo mwisho. Kama alipendwa mume wa mtu, basi huyo mke wake anaugua na kufariki au anachanganyikiwa! Hii nimeishuhudia katika familia mbili. Huu ni uchawi. Wanawake, mmezidi, muache kupenda kwa ndumba, mtapendeka tu kwa kuonesha mapenzi natural ambayo si matokeo ya mitishamba!!