Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,437
Shhhhhhhh acha kumwaga kuku kwenye mchele kidogo!!Rogie acha ushamba ndio 3some hiyo! mimi, Yummy, BADILI TABIA na Asprin, huwa tunafanya 4some! lolest! ni kasheshe.
Jamaa mmoja alisikia kiu akaenda kwenye nyumba ya mmasai mmoja kuomba maji. Alipofika akamkuta mtoto akaletewa maziwa glasi imejaa. Akafurahi akanywa. Kesho yake akafanya hivyo hivyo akapewa maziwa tena.
Siku ya tatu yule mtoto akampa tena maziwa badala ya maji:
Basi jamaa akaona ngoja aulize na mazungumzo yakawa hivi:
Jamaa: We mtoto huku kwenu kuzuri eeh! Mgeni akiomba maji mnampa maziwa.
Mtoto: Eeh, kwa sababu hayo maziwa niliyokupa hapa nyumbani hakuna mtu anayanywa.
Jamaa: Kwa nini?
Mtoto: Sababu panya alifia humo:
Jamaa akashutuka akadondosha ile glasi ya maziwa aliyokuwa anakunywa. Mtoto kuona hivyo akamwita mama yake kwa sauti: Mamaaa, amepasua ile glasi ya bibi ya kutemea makohozi!