Mapenzi na mwanamke mpenda wanawake (biosexual)

Mapenzi na mwanamke mpenda wanawake (biosexual)

Sijajua kama tatizo lako ni ulesbo wa "demu" wako au mapenzi unayojisikia kwa "demu" wa "demu" wako!


Tatizo linalonikumba kama nilivyoeleza hapo awali ni mimi kuanza kuvutiwa zaidi kimapenzi na rafiki wa mpenzi wangu ambaye ninavyofikili na yeye anaonekana kunipenda. My girlfriend cares more not just in lovemaking but also in life as couple.
 
Mbona mimi sioni tatizo, kama kuwala unawala wote endeleza tu uhusiano. Literally you have 2 people to care now, na huyo GF alikupa hiyo consent ulipokubali 3 some. Atakupenda zaidi, coz pia unampenda mtu wake.


Thanks for your advice.
 
Oa wote, ukisafiri hawatachiti; watamalizana wenyewe kwa wenyewe!


Ninashukulu kwa ushauri lakini ni ushauri mgumu. Siwezi hata kuwaeleza watu wa karibu mambo tunayoyafanya for fear of being demonized. Ndiyo sababu kuu ya kutaka ushauri hapa janvini.
 
Inaelekea unapiga softcore zaid ndio maana wanapata nafas, unachotakiwa kufanya ujaribu hardcore game iliujue kama tatizo lao ni kuridhishwa au vp?
 
Sasa subiri na huyo wa tatu aje na mwanamme wake kutaka foursome, hapo ndio utaingia akili.
 
sio lazima kila wanachofanya wakoloni
na sie tuige
anza kwa kumuomba Mungu wako msamaha, uwaombee msamaaaaaaha na hao mabinti

matendo mengine ndo yanaifanya hii dunia kunakuwa na majanga, magonjwa na vifo visivyokuwa na kichwa wala miguu
kumbuka kuna maisha baada ya haya tunayoyaishi hapa duniani

JUMAPILI NJEMA NA MUNGU WANGU NA AKUBARIKI
 
Maadili mapya hayo,ivi huyo mwanamke leo mme fanya hayo madudu na shogake ukakubali kesho akikuletea dume mwenzio
itakuwaje? au ndio nyie mnaowekwa na wanawake kina kula kulala? ebu wacha kujiaibisha ...


Ninashukulu kwa ushauri wako lakini kumbuka Usihukumu usije hukumiwa.
For your information, even though, I don't know you personally but in terms of material treasure, I have enough investment not to worry for the future.
 
thread za usiku zinazoletwa na new members!!!
personally i wouldn't marry a woman with lesbian tendencies since i'm too monogamous for it and i want my lover to be with me only. that said, if u think u can handle 3somes regularly then go for it, just remember to set some rules for your relationship otherwise some1 will get hurt.
goodluck with whatever decision you take


Thanks a million for your advice.
Do you think, which rules are conducive to my situation?
 
sio lazima kila wanachofanya wakoloni
na sie tuige
anza kwa kumuomba Mungu wako msamaha, uwaombee msamaaaaaaha na hao mabinti

matendo mengine ndo yanaifanya hii dunia kunakuwa na majanga, magonjwa na vifo visivyokuwa na kichwa wala miguu
kumbuka kuna maisha baada ya haya tunayoyaishi hapa duniani

JUMAPILI NJEMA NA MUNGU WANGU NA AKUBARIKI


Your god bless you.
Ninashukulu kwa ushauri wako lakini siyo nia yangu kuongelea imani za kidini lakini kumbuka hata hiyo dini unayoifuata ililetwa na wakoloni na kwa kufanya hivyo umewaiga wakoloni.
Ningependa kujua umetoa wapi hili la kwamba mambo haya ndiyo yanaleta mitafaruku duniani. Do you have any scientific evidence instead of just belief.
 
Inaelekea unapiga softcore zaid ndio maana wanapata nafas, unachotakiwa kufanya ujaribu hardcore game iliujue kama tatizo lao ni kuridhishwa au vp?


What's softcore and hardcore game
 
Thanks a million for your advice.
Do you think, which rules are conducive to my situation?
you are welcome
i've never been in a 3way relationship so I honestly don't know, but u can search online for some tips. all i can say is make sure
  1. they/you dont cheat with other people
  2. talk about your expectations/needs/wants in the relationship

 
​​Kama kuna mtaalamu wa maswala ya mapenzi na ndoa naomba anisaidie.
Je nini siri ya mafanikio katika ndoa wakati mke hupenda pia wanawake?.

Kwa ufupi:
Nimekuwa katika mahusiano na mpenzi wangu kwa zaidi ya miezi sita. lakini miezi miwili iliyopita aliniangushia kombora la maangamizo ya kifkra na kusema kuwa huwa pia anapenda wanawake na amekuwa katika mahusiano na mwanamke mwingine kabla ya mimi na yeye hatujawa wapenzi, na akasema, hakutaka kunieleza mwanzoni kwa vile alifikiri kama nisingemuelewa na pia hakupata nguvu ya kufanya hivyo(courage) lakini pamoja na kutokufanya hivyo bado wanaendeleza urafiki.
Baada ya maongezi marefu akaniomba kama ningemruhusu huyo rafiki yake kuja na kujumuika pamoja katika tendo la ndoa(threesome).
kwa shingo upande, nilikubali kufanya hivyo. Na kwa mara ya kwanza katika maisha yangu, nikafanya mapenzi ya pamoja na wanawake wawili na pia kushuhudia wanawake wakifanya pia mapenzi. I have to admit, it was great.
Tatizo kwa sasa ninaona kama pendo nililokuwa nalo kwake linaanza kupungua na kuhamia kwa yule rafiki yake ambaye pia ninafikili ananipenda sana kimapenzi.
What can I do to save my relationship due to the fact that my woman cares a lot.

Please, Changia kama una mchango chanya
REMEMBER:
It's better to be silent and be thought a fool, than to speak and remove all doubt.

Msemaji ukweli nafikiri kwa upande wa kupata kile roho inapenda endelea na huo mchezo na hiyo kumpenda zaidi wa pili kuliko wa mwanzo si kitu, kwani hata sisi tulio na mitala tunakiri kuwa mapenzi hayawezi kuwa sawa. Kama kwa kumpenda huyo wa mwanzo ulikuwa tayari kukubali kumkaribisha wa tatu bila ya hata kumjuwa basi pia si tatizo kuendelea na huo mchezo wenu wakati yule wa mwanzo humpendi sasna( najuwa unampenda ndio maana ukajali usimuudhi)
Kwa upande wa pili ni upande wa maadili au mpango mzima wa kimaumbile (nature) ya mahusiano ya mwanamke na mwanamme. Imeshabainika kuwa mola analolikataza huwa na nguvu ya kishetani kuonekana kuwa lina raha zaidi na kukaidi madhara yanayopatikana kwa hicho kilichokatazwa. Kwa kuangalia hivyo usije ukashangaa keshokutwa mnajaribu kumshirikisha mpenzi wa kiume wa huyo mwanamke wa pili na kuwa foursome na kuendelea, maana laana ina tabia ya kutaka sifa kiasi cha kutojali lolote mradi unapata utakavyo.
 
You are right, maana hata Sokwe hakubali kushare na ndio maana huwa wanaenda hanemuun kipindi cha heat! Source Nat Geo Wild channel!

Samahani sikuelewi hata unachoongea ni nini hapa. Your trying to condemn me for being open and seek advice from people who think bigger.
Good luck in your outdated mentality
 
Msemaji ukweli nafikiri kwa upande wa kupata kile roho inapenda endelea na huo mchezo na hiyo kumpenda zaidi wa pili kuliko wa mwanzo si kitu, kwani hata sisi tulio na mitala tunakiri kuwa mapenzi hayawezi kuwa sawa. Kama kwa kumpenda huyo wa mwanzo ulikuwa tayari kukubali kumkaribisha wa tatu bila ya hata kumjuwa basi pia si tatizo kuendelea na huo mchezo wenu wakati yule wa mwanzo humpendi sasna( najuwa unampenda ndio maana ukajali usimuudhi)
Kwa upande wa pili ni upande wa maadili au mpango mzima wa kimaumbile (nature) ya mahusiano ya mwanamke na mwanamme. Imeshabainika kuwa mola analolikataza huwa na nguvu ya kishetani kuonekana kuwa lina raha zaidi na kukaidi madhara yanayopatikana kwa hicho kilichokatazwa. Kwa kuangalia hivyo usije ukashangaa keshokutwa mnajaribu kumshirikisha mpenzi wa kiume wa huyo mwanamke wa pili na kuwa foursome na kuendelea, maana laana ina tabia ya kutaka sifa kiasi cha kutojali lolote mradi unapata utakavyo.

Ninashukuru kwa ushauri wako ambao umeeleza faida na madhara katika mahusiano yetu. Ni ushauri mzuri ambao umeacha mlango wazi ili fikra zangu zifanye uamuzi.
Nitaufanyia kazi
 
huyu ni bwabwa punga, you should ask for another man to join you ili muwe wanaume wawili, wakati wewe ukidokoa vile vile uwe unadokolewa...mwanaume mwenye akili sawa kama yeye pia sio bwabwa nusu, hawezi kukubali ***** kama huo...kwanza kabisa ni ushetani. ilishawahi kunikuta siku moja, nilikuwa na demu fulani, siku moja tukawa tunaanglaia kipindi cha salama jabir sijui ni cha mikasi...nikwamwambia unajua salama ni punga?...akastuka afu akanambia sikujua hilo ngoja na mimi akanisage...dah, niliishiwa nguvu, nilimbwaga kuanzia siku hiyohiyo...pamoja na kwamba aliniomba msamaha kuwa alikuwa anatania, utani kama huo ulimaliza upendo wangu kwake...hadi leo namchukia kuliko wanawake wote.
 
huyu ni bwabwa punga, you should ask for another man to join you ili muwe wanaume wawili, wakati wewe ukidokoa vile vile uwe unadokolewa...mwanaume mwenye akili sawa kama yeye pia sio bwabwa nusu, hawezi kukubali ***** kama huo...kwanza kabisa ni ushetani. ilishawahi kunikuta siku moja, nilikuwa na demu fulani, siku moja tukawa tunaanglaia kipindi cha salama jabir sijui ni cha mikasi...nikwamwambia unajua salama ni punga?...akastuka afu akanambia sikujua hilo ngoja na mimi akanisage...dah, niliishiwa nguvu, nilimbwaga kuanzia siku hiyohiyo...pamoja na kwamba aliniomba msamaha kuwa alikuwa anatania, utani kama huo ulimaliza upendo wangu kwake...hadi leo namchukia kuliko wanawake wote.

You can say whatever you like. afterall, we're in free world but you can't prejudge someone na kutaka kila mtu awe kama wewe.
Kama ulimbwaga na unamchukia kuliko wanawake wote, don't sit there and think everyone is impressed with your story.
 
Back
Top Bottom