Oa wote, ukisafiri hawatachiti; watamalizana wenyewe kwa wenyewe!
Kama kuna mtaalamu wa maswala ya mapenzi na ndoa naomba anisaidie.
Je nini siri ya mafanikio katika ndoa wakati mke hupenda pia wanawake?.
Kwa ufupi:
Nimekuwa katika mahusiano na mpenzi wangu kwa zaidi ya miezi sita. lakini miezi miwili iliyopita aliniangushia kombora la maangamizo ya kifkra na kusema kuwa huwa pia anapenda wanawake na amekuwa katika mahusiano na mwanamke mwingine kabla ya mimi na yeye hatujawa wapenzi, na akasema, hakutaka kunieleza mwanzoni kwa vile alifikiri kama nisingemuelewa na pia hakupata nguvu ya kufanya hivyo(courage) lakini pamoja na kutokufanya hivyo bado wanaendeleza urafiki.
Baada ya maongezi marefu akaniomba kama ningemruhusu huyo rafiki yake kuja na kujumuika pamoja katika tendo la ndoa(threesome).
kwa shingo upande, nilikubali kufanya hivyo. Na kwa mara ya kwanza katika maisha yangu, nikafanya mapenzi ya pamoja na wanawake wawili na pia kushuhudia wanawake wakifanya pia mapenzi. I have to admit, it was great.
Tatizo kwa sasa ninaona kama pendo nililokuwa nalo kwake linaanza kupungua na kuhamia kwa yule rafiki yake ambaye pia ninafikili ananipenda sana kimapenzi.
What can I do to save my relationship due to the fact that my woman cares a lot.
Please, Changia kama una mchango chanya
REMEMBER:
It's better to be silent and be thought a fool, than to speak and remove all doubt.
Si ndo maana nataka umwambie Kongosho atujoin ili tupige 3some ya mwaka!!
Aibu kweli kweli! Kinachokutofautisha wewe na Bonobos (Pan Paniscus) ni nini sasa? Maana sioni tofauti!
Nmmh naogopa atakung'ang'ania bwana. Sitaki kukushare na binadamu yoyote! LOL
You are right, maana hata Sokwe hakubali kushare na ndio maana huwa wanaenda hanemuun kipindi cha heat! Source Nat Geo Wild channel!
Basi vi-PM vyake nitavipotezea,nilikua nasubiri ruksa yako mpenzi!
My foolishness notwithstanding,I think you qualify for an idiot.
She tells you shes a lesbian,you stomach it,she goes ahead asking for a threesome and you freely consent. Then you come trumpeting it here,you think its funy or were gonna shower you praises?
If you dont approve it why do you stand it?You either condone it or dismiss it...but strange as u are,you dont..Makes me think a real african man is a rare specie these days!!
Aibu kweli kweli!
Kinachokutofautisha wewe na Bonobos (Pan Paniscus) ni nini sasa? Maana
sioni tofauti!
Hivi wakati girlfriend wako anakwambia mfanye threesome na ukamkubalia ulikua katika hali ya kawaida au ulikua umelewa??kama ulikua umelewa then acha pombe mara moja! Kama ulikua mzima bila alcohol then jua ulikosea sana na unachotakiwa kufanya sasa ni kustart afresh! Kati ya hao wanawake hakuna hata mmoja anayekufaa hata huyo mwingine umemtamani tu baada ya kumuona uchi..waache wote anza upya!!