Mara nyingi nimekuwa nikisoma matangazo kwenye magazeti fulanifulani nakutana na tangazo linalohusu dawa ya kuongeza ukubwa wa maumbile kwa wanaume.Je hizi habari ni za kweli na kuna mahusiano yoyote kati ya maumbile na kufanya mapenzi?
hhahahahhahahahahhahaaha!!!! you made my day ngoja nilog off niende zangu kutemea miehivi kwa nini hawa wauzaji wasitafute dawa ya kupunguza maumbile ya wanawake?
always kwa wanaume tu, mi nadhani hata wanawake wangekuwa wanapunguza
yle wanaume wanaongeza,kuliko kuwaachia wanaume tu wahangaike na kuongeza
wkt wanawake wapo stationary tu.
yesi kuna mahusiano inatakiwa ifit to each other kupwaya nomaa