King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 3,885
- 7,668
Duuuh...huyo alikuwa ana utoto mwngi japo wamemzalisha mapema.Nimemuacha maana ana tabia kinyume na matarajio. Ananiganda kila sehemu, anataka nimsindikize popote anapoenda, ana wivu sijawahi ona mpaka nikiwa kwenye group disc anakuja kukaa pale nilipo n hachangii wala hausiki kwenye group.
Siku moja nikawa na manzi mmoja mrembo sema nawaheshimu sana walokole, aliniomba nimpige picha tukawa tunazunguka around. Ghafla naona mtu huyo anatufata nikamtext kwamba aondoke akanuna sijawahi ona. Bahati mbaya sipo romantic (ndo maana hata sikushtuka nilipogundua ana mtoto) na ni no nonsense. Siku mbili mbele yule jamaa wa SUA akachomwa kisu, nikaona hamna maisha hapa ubatili mtupu.
Ila wanawake wa chuo usipokuwa makini unaweza ukawa unamauhusiano au kuoa single mother,huwa hawasemi Kama alishazaa ana mtoto.
Mimi kuna mmoja npo nae hajawai niambia wala kunionesha dalili Kama ana mtoto Ila nina wasiwasi nae sana kuwa anamtoto Ila ananifcha tu...
baby basi tufanye hivi...Mimi nitunze maboom yetu yote ntakuwa nakuhudumia kila unachokitaka ili usitumie hela vibaya...



