Mapenzi na mahusiano ya Vyuoni

Mapenzi na mahusiano ya Vyuoni

Kama unataka watoto wa Chuo kipindi hiki wiki hizi mbili ndio muafaka unaweza jaza EICHER
 
Sina idadi kamil ya madem nliotoka nao chuo....ila 1 2 3nawakumbuka, wanaojir , sjui! Weng tumepita uko
 
Vyuoni ni kawaida sana wanawake kupata wapenzi.
Mimi nilipata mke siku ya kwanza tu kuingia Class. Baada ya utambulisho tu darasani kuna binti wa kichaga akaanza kujibebisha, akawa mke wangu wa chuo. Tulivyomaliza chuo akarudi kwa mumewe halisi aliyekuwa anamsomesha.

Pia katika darasa letu kulikuwa na masista wawili waliokuwa wanasomeshwa na Kanisa, nao walisaliti usista wakapata wapenzi pale chuoni.
 
Mii kipindi naingia utumishi Tanga basi kam week mbili hivi katika harakati za kujibu swali akatokea dada mmoja na kuniuliza"wewe umetoka dar"nikamjibu (ndio) basi akasema tuwe marafiki.

Lakini akililini mwangu nilisema kabisa sitathubut mahusiano na mwanamke yeyote kutoka daslam,akaanza kushoboka ingawa mimi nilishajiandaa kabisa kupangua mizinga mwisho wa siku aliona mwenyew sina interest yeyote akasepa.

Cha ajabu akatokea mtoto wa Kitanga akanitongiza,lengo nimsaidie maana kichwa chake kigumu kuelewa hivyo nikajichukulia jumla,ingawa nilitengeneza EMPIRE nyingine pembeni ambazo sio WANACHUO
 
Mimi sikuwahi kuwa na mpenzi chuo sababu ya tungi. Nilikuwa nakunywa sana pale mlimani bar mademu wakawa wananishangaa sana. Sema nilikuwa vizuri sana kwenye masomo wakawa wananikubali kushare na mm masomo lakini sio love. Hadi namaliza nilitongoza karibia darasa zima la kozi yangu lakini sikupata hata mmoja.
 
Mtoto wa watu nimeenda chuo mtu mwema kabisa,
Semester ya kwanza nikakaa hostel kwa hiyo nikaishia kuwa na friends tu basi.
Semester ya pili nikaingia maghettoni.
Hapa ndo shida ilipoanzia,siku moja nikakutana na mtoto mmoja rusha nyavu imoo.
Siku aliponitembelea maghettoni kaacha vitu kadhaa.
Mwisho wa siku kahamia kabisa sema uzuri wake nikikwama kwenye ishu za kodi ananipiga tafu.
Huyu alikuwa kanitangulia chuo.
Nimeishi naye mpaka kamaliza akasema akasalimie kwao atarudi ikawa mazima.
Nikimcheki naona kama mawasiliano yanapungua.
Nikamchana tu "distance relationship tunadanganyana" tubaki marafiki tu.
Mwaka wa pili vuta chombo nyingine nikaishi naye mwaka wote.
Mwaka wa tatu nikaruka na mwingine mpaka mwaka ukakata.
Mwaka wa mwisho(wa nne) nikasema sasa hivi nahitaji kutafuta wife sasa mambo ya kurukaruka nayaacha.
Nikaiibukia pisi moja hivi ikawa inanizungusha tu"eti tubaki kuwa marafiki tu"
Nikampotezea nikahamia mtaani kwa dada mmoja muuza bucha la nyama
Mpaka tukaja kuoana.
To cut the long story short yule dada aliyeniambia tubaki marafiki alipojua nadate na yule mdada wa buchani akaniambia eti alikuwa ananipima kama nina mapenzi ya kweli ila ndo hvyo sasa alikuwa kashachelewa.
Ila sikulaza damu nilitia chapa kabla sijamuoa yule demu wangu wa buchani na tukabaki marafiki kama alivyotaka😄
 
Ila wanaoongoza na virusi vya UKIMWI ni wanachuo. Source Anonymous
 
Mimi sikuwahi kuwa na mpenzi chuo sababu ya tungi. Nilikuwa nakunywa sana pale mlimani bar mademu wakawa wananishangaa sana. Sema nilikuwa vizuri sana kwenye masomo wakawa wananikubali kushare na mm masomo lakini sio love. Hadi namaliza nilitongoza karibia darasa zima la kozi yangu lakini sikupata hata mmoja.
Sijui kwa nini nimekuonea huruma😁
 
hakuna kazi ngumu kama kushindana na hisia hasa kwa vijana then hata mazngra ya vyuo nayo yanachangia sana kua na mahusiano, kama umeweza sijui utakua umetumia njia gani?
Kila kitu n mipango na malengo ya muhusika, chuo kipo ili kutoa Elimu na sio mahusiano ya kimapenzi, sijaona mazingira yeyote kwa ngazi ya vyuo kuwa n shawishi ya mahusiano km sio hulka na ulimbukeni wa baadhi ya wahusika.
Tena huwa inakuwa hivyo kulingana na zile pesa za boom tyuuh.
 
Kila kitu n mipango na malengo ya muhusika, chuo kipo ili kutoa Elimu na sio mahusiano ya kimapenzi, sijaona mazingira yeyote kwa ngazi ya vyuo kuwa n shawishi ya mahusiano km sio hulka na ulimbukeni wa baadhi ya wahusika.
Tena huwa inakuwa hivyo kulingana na zile pesa za boom tyuuh.
sijajua kama hadi bihaindi ze sini unamaanisha ulichoandika hapa.
 
Back
Top Bottom