FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Mwanafalsafa mmoja wa kale katika China (tshan zuu-sijui kama nimeandika jina kwa ufasaha) alisema kila mwanaume ameumbiwa mke na kila mwanamke ameumbiwa mume. Tatizo ni kutambua mkeo au mumeo yuko wapi. Unaweza ukawa milima ya uporoto na mkeo au mumeo akawa milima ya elgon uganda.
ukimsomesha mkeo au mumeo au mkeo akifanikiwa kisha akakutema, ujue hakuwa mkeo, ulioa mke wa mtu mwingine.
Note kuwa wapo pia wanaume ambao wakishafanikiwa hawapendi kutoka hata na wake zao, wanashindwa tu kuwaacha physically wanakuwa wamekwisha kuwaacha. Wengi huogopa tu kama kuna ishu ya kulea watoto, wengi huogopa mama wa kambo kwa watoto.
Thanks Mkuu, sina wasiwasi kabisaa na hilo, ni mambo ya muda na nafasi lakini jitihada tayari wasiwasi wangu ni watu wanaosema ukimsomesha anakukimbia!!!
halafu na naona kama kuna kaukweli fulani mazee
MJ1Mimi nafikiri kuna mengi yanayochangia hapa si elimu peke yake. Ninamfahamu mama ambae ameachana na mume wake baada ya kuhitimu elimu yake na kwa ukaribu ni kuwa huyu mama alikuwa ananyanyaswa sana na mume wake (unfortunately huyo mume alikuwa ni msomi mzuri tu). Mama alipoona manyanyaso yamezidi akaamua kutafuta elimu (hakusomeshwa na mume wake- alipata mkopo huku akisaidiwa na dada yake). Na elimu yake hakuipata kirahisi including kero na frustrations kibao toka kwa Mr. akiwa na lengo la kumkatisha tamaa lakini alifanikiwa kumaliza salama.
Baada ya kumaliza (yeye ilikuwa Masters) gubu na kero toka kwa mume hazikukoma ndio kwanza zikaongezeka. Mama akiargue kidogo/akitoa ushauri ambao unapingana na wa mzee anaambiwa anajifanya kasoma. Akitaka kutafuta kazi ili apractice elimu yake anazuia huyo mmoja akatafuta kwa siri kazi akamwambia mumewe alipopata na hata alipokatazwa akaanza kinguvu. Matokeo yake ugomvi kila kukicha na mume akamtafutia mwenza kisa anaambiwa ana kiburi. Mamam akaamua kutafuta nyumba akaondoka na kichanga chake. Mtaani yameenea maneno oh mke kasoma kamtelekeza mume!!
What I want to write here ni kuwa it takes a lot kwa mwanamke kufikia uamuzi wa kumwacha mume. So tusiangalie klijuu juu tu. Kuta zinaficha mengi
What I want to write here ni kuwa it takes a lot kwa mwanamke kufikia uamuzi wa kumwacha mume. So tusiangalie klijuu juu tu. Kuta zinaficha mengi
MKILIPOKEA NA KULIKUBALI NA MKATAMBUA KUWA YATASEMWA MENGI, NYIE KAZANENI KUWAPENDA WAKE ZENU HALAFU MTAKUJA KUTUPA USHUHUDA WA MAISHA YANAVYOKUWA MATAMU.
SISI WANAWAKE KWANZA TUNAWAPENDENI SANA, TUNAWAJALI NA TUKO TAYARI KUWAFANYIA MAKUBWA SANA HAMJUI TU.Tupeni ushirikiano, tupeni nafasi .......
Hili suala la kuelimisha wake zetu,ndo linaananza kuchukua kasi kwenye jamii yetu, na siku zote kitu kikipokelewa ujue kuna watakao kipokea sivyo ndivyo,chukua mfano; mtu kaolewa ili ajikomboe(kufanikiwa) kimaisha kisha ukamsomesha akagundua elimu aliyonayo inaweza kumkomboa kimaisha zaidi ya kuwa na wewe,nn kitakachotokea? lakini kama mna upendo wa dhati mbona poa tu,kwasababu upendo wa dhati acha elimu hata pesa na ndugu hawawezi kuuvuruga,ila kumsomesha mkeo ni sehemu ya wajibu wako mwanaume,kwa maendeleo bora ya vizazi vyenu, hasa kipindi hiki cha utandawazi
Wakuu...
siku za karibuni nimeona rafiki zangu wawili wakivunja ndoa zao baada ya kutoswa na wake zao, hao wadada ni wa shoka, elimu A, na kazi walizopata ni za kimataifa
Cha kushangaza mmoja wao hakuwahi kuwa na issue na mkewe zaidi ya kuburuzwa kwenye maamuzi tangu mama amalize PhD yake; sasa nimesikia mama kapata kazi nje ya nchi, kaondoka bila kumuaga jamaa na amepeleka watoto wote boarding na jamaa hajui afuate njia ipi
Sasa najiuliza, hivi kuna uhusiano kati ya mafanikio ya mwanamke na kuvunjika kwa ndoa??? Nafahamu humu ndani kuna matawi yote na nategemea msaada maana mie nasomesha mke na nimeshaanza kuogopa
Please advice[/QUOTE Ukiona hivyo ujue hakumpenda kwa shida na raha,ndio wale ukipata ajali au ukiugua bila ugonjwa kutibika anakula kona
Hivi unasema kweli PJ ..nina mpango wa kuendelea na elimu mpaka nimzidi mme wangu kabisaaaaaaaaaaa ..sijui na mie nitabadilika ??
Hata kama hajakuacha physically, ukisikia anasimulia na kutoa sifa kem kem kwa wanaume, Oh tulisaidiana sana, ni mstaarabu sana, anajali sana, anajiheshimu sana, ni mpole sana, tulidiscuss pamoja kwa karibu sana, nk. Kisha simu zikipigwa hataki kuongea nawewe ukiwapo karibu, ujue akilini mwako umechujuka na anao wengine kichwani mwake na huwakumbuka. Tena akiwakumbuka hufarijika sana. Ukiwa shambani kulima unageuzwa screen, kichwani kwake anayelima ni yuleee. Siku moja atakuambia "Hapo hapo John!" kumbe kajisahau kwambawewe n Juma wala sio John. Usiku akiweweseka atalembulia jina la John ilhalin wewe umemzungushia mkono wako juu ya nanii yake.
Misahafu yote inasema usimwamini mwanamke asilimia zote, kuna siri zako zingine ambazo hata mkeo hapaswi kuzifahamu. Hujasikia kuna mwanasiasa waziri Bongo anayemsotesha mumewe msomi na mhadhiri chuo kikuu kimojawapo Bongoland? Yeye na mizunguko tu, shamba hulimwa pale anapojisikia ndio hulipeleka likalimwe, lakini vinginevyo linalimwa huohuko mizungukoni. Ila akisikia kwamba umelipeleka jembe kulima kwa jirani anapagawa kwa hasira, ati hataki jembe lake lichezewe, lakini wakati huo huo hataki kulikalisha shamba lako mahali jembe lilipo ili ulime kwa nafasi.
Hiyo ndiy Kilimo kwanza Bongoland. Huo ni mfano tu. Mkeo akifanikiwa kisiasa na ikapigwa simu usiku wa manane kwamba anatakiwa mara moja sehemu fulani kikazi inakuwaje na shangingi linakuja kumchukuwa? Ukitaka uishi siku nyingi katika mazinbgira kama hayo, wewe jifanye *****. Atalipeleka shamba lako huko, watafanyia majaribio na atalirudisha tena. Omba Mungu tu wasiweke sumu shambani humo ukadhurika na wewe Wengine hawavai buti wanapofanya majaribio katika mashamba yasiyokuwa yao, maana wamezoea na kuyafanya kama vile ni ya kwao.
Kwa hiyo, maendeleo ya mwanamke is a disastre to her company. Mwalimu wangu mmoja alipropose kwamba ni bora na sahihi zaid mke akae ndani akilea watoto na kutunza mji, wakatimzee anachakalika kutafuta maisha, akirudi akute mwili laini na afarijike. Kuliko wote kuchakalika na kuwa musculine. Mkitoka shambani mtafute kujikanda maumivu.
Leka
Hata kama hajakuacha physically, ukisikia anasimulia na kutoa sifa kem kem kwa wanaume, Oh tulisaidiana sana, ni mstaarabu sana, anajali sana, anajiheshimu sana, ni mpole sana, tulidiscuss pamoja kwa karibu sana, nk. Kisha simu zikipigwa hataki kuongea nawewe ukiwapo karibu, ujue akilini mwako umechujuka na anao wengine kichwani mwake na huwakumbuka. Tena akiwakumbuka hufarijika sana. Ukiwa shambani kulima unageuzwa screen, kichwani kwake anayelima ni yuleee. Siku moja atakuambia "Hapo hapo John!" kumbe kajisahau kwambawewe n Juma wala sio John. Usiku akiweweseka atalembulia jina la John ilhalin wewe umemzungushia mkono wako juu ya nanii yake.
Misahafu yote inasema usimwamini mwanamke asilimia zote, kuna siri zako zingine ambazo hata mkeo hapaswi kuzifahamu. Hujasikia kuna mwanasiasa waziri Bongo anayemsotesha mumewe msomi na mhadhiri chuo kikuu kimojawapo Bongoland? Yeye na mizunguko tu, shamba hulimwa pale anapojisikia ndio hulipeleka likalimwe, lakini vinginevyo linalimwa huohuko mizungukoni. Ila akisikia kwamba umelipeleka jembe kulima kwa jirani anapagawa kwa hasira, ati hataki jembe lake lichezewe, lakini wakati huo huo hataki kulikalisha shamba lako mahali jembe lilipo ili ulime kwa nafasi.
Hiyo ndiy Kilimo kwanza Bongoland. Huo ni mfano tu. Mkeo akifanikiwa kisiasa na ikapigwa simu usiku wa manane kwamba anatakiwa mara moja sehemu fulani kikazi inakuwaje na shangingi linakuja kumchukuwa? Ukitaka uishi siku nyingi katika mazinbgira kama hayo, wewe jifanye *****. Atalipeleka shamba lako huko, watafanyia majaribio na atalirudisha tena. Omba Mungu tu wasiweke sumu shambani humo ukadhurika na wewe Wengine hawavai buti wanapofanya majaribio katika mashamba yasiyokuwa yao, maana wamezoea na kuyafanya kama vile ni ya kwao.
Kwa hiyo, maendeleo ya mwanamke is a disastre to her company. Mwalimu wangu mmoja alipropose kwamba ni bora na sahihi zaid mke akae ndani akilea watoto na kutunza mji, wakatimzee anachakalika kutafuta maisha, akirudi akute mwili laini na afarijike. Kuliko wote kuchakalika na kuwa musculine. Mkitoka shambani mtafute kujikanda maumivu.
Leka
Haya ni mabadiliko ya kawaida ya binadam. Watu hubadirika mwili na mawazo. Ni mawe tu yasiyobadilika. Wengi hudhani kuwa kama mtu mnapendana mapenzi hayataisha. Mapenzi huisha na wataalam wengi wanaamini ndoa baada ya miaka miwili, ni commitment zaidi ya mapenzi. Elimu ni kati ya vitu vinavyobadilisha sana watu mtazamo; positively or negatively kutegemeana na mtu mwenyewe.
Kwa hiyo inategemea huyo aliyeasi alikuwa anahisi vipi ndani ya mahusiano yake. Mi naona mambo kama haya inatakiwa yae encouraged badala ya kung'ang'aniza watu kubaki na mahusiano yasiyo lipa au mahusiano yaliyochoka.
Tusipokuwe selfish, mwenzio akisema anasepa, we mpe farewell halafu u endelee. Kung'ang'ania mahusiano yaliyochoka sometimes ni kujihukumu maisha!!
Wakuu...
siku za karibuni nimeona rafiki zangu wawili wakivunja ndoa zao baada ya kutoswa na wake zao, hao wadada ni wa shoka, elimu A, na kazi walizopata ni za kimataifa
Cha kushangaza mmoja wao hakuwahi kuwa na issue na mkewe zaidi ya kuburuzwa kwenye maamuzi tangu mama amalize PhD yake; sasa nimesikia mama kapata kazi nje ya nchi, kaondoka bila kumuaga jamaa na amepeleka watoto wote boarding na jamaa hajui afuate njia ipi
Sasa najiuliza, hivi kuna uhusiano kati ya mafanikio ya mwanamke na kuvunjika kwa ndoa??? Nafahamu humu ndani kuna matawi yote na nategemea msaada maana mie nasomesha mke na nimeshaanza kuogopa
Please advice[/QUOTE Ukiona hivyo ujue hakumpenda kwa shida na raha,ndio wale ukipata ajali au ukiugua bila ugonjwa kutibika anakula kona
Huyu alikpata PhD ya kudesa kwa hiyo hana shukurani wala akili ya kufikiria atakufa kama mbwa huyo, na huyo mumewe atakufa kama shujaa aliekua anamtoa kwenye utumwa lakini aliyekua akikombolewa akili zilikua miguuni na PhD kichwani.
Wanaume tusitishike na wake zetu kutushinda kielimu, kwani Mungu alivyotuumba tukijiamini hata ukiwa na elimu ya kawaida mkeo akawa na elimu kubwa still ww upo juu tu labda uwe na akili ya kuwanyanyapaa kina mama believe me!
Ukimsomesha akakuacha umefanya kazi ya mwanaume ndugu yangu kikubwa ni uvumilivu, kwani she will feel guilty.
Huyu alikpata PhD ya kudesa kwa hiyo hana shukurani wala akili ya kufikiria atakufa kama mbwa huyo, na huyo mumewe atakufa kama shujaa aliekua anamtoa kwenye utumwa lakini aliyekua akikombolewa akili zilikua miguuni na PhD kichwani.
Wanaume tusitishike na wake zetu kutushinda kielimu, kwani Mungu alivyotuumba tukijiamini hata ukiwa na elimu ya kawaida mkeo akawa na elimu kubwa still ww upo juu tu labda uwe na akili ya kuwanyanyapaa kina mama believe me!
Ukimsomesha akakuacha umefanya kazi ya mwanaume ndugu yangu kikubwa ni uvumilivu, kwani she will feel guilty.
ni kweli kabisa Amwanga...
Kama wanaume tunalazimika kuongoza familia zetu na moja ya mambo muhimu sana ni kusaidia wanafamilia kuweza kutekeleza majukumu yao na hasa elimu kwa mama na watoto wetu... Ninapenda sana kuwa wa msaada kwa mai waifu wangu, ila kama kawaida lazima nijiandae hata ikitokea unexpected nisije kufa kwa presha
.........Msiogope kusomesha wake zenu jamani, muhimu ni heshima, upendo na masikilizano.
Kama kweli wapo wanawake wanaoamua kuacha waume zao kwa ajili ya elimu zao wanasababu toka zamani.
Elimu/mafanikio sio kigezo cha kumuacha mwenzio kama kweli mlipendana kidhati.
hapo bolded ndipo penye determination,lakini tatizo linakuja ni wachache sana wenye hiyo kitu MAPENZI YA DHATI, wengi ni matapeli tu wa mapenzi,nawaongelea jinsia ya SHE hapa, hawa ndio huwa wanaingia kwenye ndoa kwa sababu fulani fulani na sio mapenzi ya dhati