nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
Ni wakati mgumu umemkuta rfk angu na jirani yangu!
Ana mchumba wake aliyemtolea mahari na wanasubiri kufunga ndoa.
Mungu kawapa Neema ya ujauzito na katika hali isiyo ya kawaida binti alitoa ujauzito bila kumshirikisha mwenza wake akidai umetoka bahati mbaya.
Kinachotia hofu zaidi ni kuwa katika suala hilo binti hakutaka kuambatana hospitali na mchumba wake na badala yake akaenda kwa kujificha na bishost mwenzie!
Una mshauri nini huyu kijana? Akadai mahari yake na kumpotezea binti?
Au achukulie poa na mapenzi yaendelee?
Chukulia hili limekukuta Wewe, ungefanyaje??
Ana mchumba wake aliyemtolea mahari na wanasubiri kufunga ndoa.
Mungu kawapa Neema ya ujauzito na katika hali isiyo ya kawaida binti alitoa ujauzito bila kumshirikisha mwenza wake akidai umetoka bahati mbaya.
Kinachotia hofu zaidi ni kuwa katika suala hilo binti hakutaka kuambatana hospitali na mchumba wake na badala yake akaenda kwa kujificha na bishost mwenzie!
Una mshauri nini huyu kijana? Akadai mahari yake na kumpotezea binti?
Au achukulie poa na mapenzi yaendelee?
Chukulia hili limekukuta Wewe, ungefanyaje??