Mapenzi magumu jamani!

Mapenzi magumu jamani!

dini gani ilio wahalalisha watiane Mimba at the first place.....kabla ya kuoana? Nini maana ya Zinaa?
 
Leo anaitoa mimba, tena tayari yuko engaged na kalipiwa mahari, baada ya miaka miwili au zaidi kidogo kwenye ndoa bila hiyo hiyo mimba atakuja mbio hapa kulalamika ....jamani nimehangaika kila hospitali, waganga wa kienyeji na hata IVF nimefanya...blaa blaaa...Viumbe hawa kuwaelewa wanachokitaka ni kaaaaazi kweli.
 
Leo anaitoa mimba, tena tayari yuko engaged na kalipiwa mahari, baada ya miaka miwili au zaidi kidogo kwenye ndoa bila hiyo hiyo mimba atakuja mbio hapa kulalamika ....jamani nimehangaika kila hospitali, waganga wa kienyeji na hata IVF nimefanya...blaa blaaa...Viumbe hawa kuwaelewa wanachokitaka ni kaaaaazi kweli.

Binafsi niliogopa na kutetemeka mwili mzima. Kwao na mkaka wanataka waachane ila jamaa hana maamuzi mpaka sasa.
 
Upande wa pili wa stori (ambae ni huyo dada) hatujausikia. Kwahiyo hatujui huyo rafikiyo amemfanya nini mpaka kufikia huo uamuzi
 
Upande wa pili wa stori (ambae ni huyo dada) hatujausikia. Kwahiyo hatujui huyo rafikiyo amemfanya nini mpaka kufikia huo uamuzi

Anasema hawakuwa na migogoro yoyote. Ila bidada alikuwa analalamika kuwa jamaa hamjali
1. Akitapika hamsaidii
2. Akimtuma Malta anaenda kwa shingo upande
3. Jamaa alikataa kumvisha Pete ya uchumba kwao siku ya kutoa mahari na akamvishia kanisani mbele ya baba paroko(hakupenda)
4. Jamaa alinegoshieti sana na kwa muda mrefu ili apunguziwe mahari toka 1.8M mpaka 1.5M huku akikataa deni la mahari
5. Kwa sababu no.4 nduguze wakamcheka kwa dharau kuwa hapendwi na kuwa binti analazimisha ndoa.
6. n.k (kama yapo ila hayajasemwa).
 
Basi huyo msichana anatatizo la kiakili au mimba ilikua inamfanya asifikirie vizuri nkungwe123.
Kwahyo huyo rafiyo maamuzi anayo yeye mwenyewe maana ndio anajua kinagaubaga kilichotokea
 
Last edited by a moderator:
Dadiiiii... unda kamati kwaajili ya hili tatizo sugu...
How are you?
mamiiiiii! how are youuuu??... mitho thana!

naja mamii nikupe zawadi aisee... mvua inanyesha sana huku mabwepande!
 
Kama unahitaji kurudishiwa mahari poa. Au potezea hiyo mahari na huyo binti hakufai kabisa. Waeleze wazazi wake alichokufanyia.
 
Anasema hawakuwa na migogoro yoyote. Ila bidada alikuwa analalamika kuwa jamaa hamjali
1. Akitapika hamsaidii
2. Akimtuma Malta anaenda kwa shingo upande
3. Jamaa alikataa kumvisha Pete ya uchumba kwao siku ya kutoa mahari na akamvishia kanisani mbele ya baba paroko(hakupenda)
4. Jamaa alinegoshieti sana na kwa muda mrefu ili apunguziwe mahari toka 1.8M mpaka 1.5M huku akikataa deni la mahari
5. Kwa sababu no.4 nduguze wakamcheka kwa dharau kuwa hapendwi na kuwa binti analazimisha ndoa.
6. n.k (kama yapo ila hayajasemwa).

1.8??????? mi juzi nimeambiwq laki 8 pamoja na kuwa ana mimba yangu kidogo niende kuomba wanipunguzie but wazazi wangu wakanizuia....hao ndugu wapumbavu pamoja na binti yao...------,imbeciles,pathetic......kama vp mshikaji atafute mwimgine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom