Mapenzi mabaya sana, nilimfuma na mwanaume mwingine

Mapenzi mabaya sana, nilimfuma na mwanaume mwingine

hans lema

New Member
Joined
Oct 5, 2015
Posts
4
Reaction score
3
Naombeni msaada wana JF,

Nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mi 5,nilikuwa nampa kila kitu anachotaka,siku moja nilimkuta na mwanaume mwingine nililia sana yaani almanusra nijiue.

Tangu siku hiyo hamu yote ya kungoneka imekata yaani cna tena hamu na mwanamke sababu tangu niachane nae baada yakumfuma ni miezi 5 imepita ila mpaka sasa nakuwa nastress mpaka kichwa kinauma hadi leo.

Nataka nirudi katika hali yangu ya kawaida ya kuwa na mpenzi mwingine lakini apetait sina nao.

Je, hii hali niifanyeje initoke?

Naomba ushauri mzuri

Sitapenda matusi.
 
Wewe hukumpa kila kitu anachotaka! Kuna kitu hukumtimizia ndo mana katoka. Ila usijal wanawake wapo wengi ila wanaojituliza wachache, hizo stress zako haziwezi zikaisha mpaka upate mtoto mwingine, tena awe mkali kuzidi ya yule. Na usiniambie huwezi kuishi bila x wako. Huo ni ujinga ambao sitaki kuusika kutoka kwa mwanaume timam.
Ila safari hii kabla ya kuchagua mwali fikiria kwanza unahitaji kwa madhumuni yepi? Kama shida yako mgegedo basi tafuta wa kugegeda. Wapo wengi tu. Kama unataka wa kuoa basi tuliza akili. Utawapata uwe mvumiliv kidogo.
Mapenzi sio mabaya ila unayafikiria vibaya.
 
Mm nakushauri tafuta mke uoe achana na huyo sio mkweti tena yaan uoe maumivu ytapungua sana
 
Naombeni msaada wana JF,

Nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mi 5,nilikuwa nampa kila kitu anachotaka,siku moja nilimkuta na mwanaume mwingine nililia sana yaani almanusra nijiue.

Tangu siku hiyo hamu yote ya kungoneka imekata yaani cna tena hamu na mwanamke sababu tangu niachane nae baada yakumfuma ni miezi 5 imepita ila mpaka sasa nakuwa nastress mpaka kichwa kinauma hadi leo.

Nataka nirudi katika hali yangu ya kawaida ya kuwa na mpenzi mwingine lakini apetait sina nao.

Je, hii hali niifanyeje initoke?

Naomba ushauri mzuri

Sitapenda matusi.

Rekebisha title... ULIMKUMA??
 
Miaka 29 unakuwa legelege hivyo, unalia kipumbavu. Kwanza unatakiwa ujue wanawake ni viumbe thaifu kuchapiwa ni kitu cha kawaida hiyo weka kichwani kumpata mwaminifu ni bahati. Kuwa na amani tulia, jipe muda usirukie kwenye relation mpya mapema utajiongezea stress za kuhisi utachapiwa tena
 
Mkuu kwa tabia zako hizo za kulia loa na kukombilia kujinyonga, subiri na watakutenda sana. Inakuwaje unajiachia mzima mzima kwa mwanamke? Kwa dunia ya leo ya kizazi cha nyoka unatakiwa ukae mguu pand, mguu mmoja nje na mwingine ndani.

Mwanaume ukikutana na hali kama hiyo haraka harak unafanya maamuzi na kusonga mbele. Huyo ni mchumba tu, vipi angekuwa mke? Acha uzrmbe, fanyaaamuzi na songambele na maisha. Unapenda kama kipofu, kama vile hauijui dunia ya leo!!. Endelea na maisha huku ukijua akili za wanawake zinatofautiana na pia zinafanana sana. Usisunori kushangazwa/kuduwazwa.

Tafuta demu mwingine uwndelee naaisha, acha kuhangaika na matukio. Likitokea na kupita basi, fanya maamuzi ya haraka na songa na kamwe usiwe na akili ndogo kama kile chama cha kijani
 
Mkuu kwa tabia zako hizo za kulia loa na kukombilia kujinyonga, subiri na watakutenda sana. Inakuwaje unajiachia mzima mzima kwa mwanamke? Kwa dunia ya leo ya kizazi cha nyoka unatakiwa ukae mguu pand, mguu mmoja nje na mwingine ndani.

Mwanaume ukikutana na hali kama hiyo haraka harak unafanya maamuzi na kusonga mbele. Huyo ni mchumba tu, vipi angekuwa mke? Acha uzrmbe, fanyaaamuzi na songambele na maisha. Unapenda kama kipofu, kama vile hauijui dunia ya leo!!. Endelea na maisha huku ukijua akili za wanawake zinatofautiana na pia zinafanana sana. Usisunori kushangazwa/kuduwazwa.

Tafuta demu mwingine uwndelee naaisha, acha kuhangaika na matukio. Likitokea na kupita basi, fanya maamuzi ya haraka na songa na kamwe usiwe na akili ndogo kama kile chama cha kijani

analialia utafkiri demu bana ahaaah nimekereka ngoja niondoke zangu..
naenda jukwaa la siasa!
 
Kaka utakua ulimliza ndio maana amekuliza...hata Kama ulimpea kila kitu, inawezekana ulishamtenda kabla., sasa ndio ameamua kufanya hivyo. Uache kujitetea upande wako, demu hawezi cheat Kama hujamtibua.
 
Umedumu nae kwenye mapenzi kwa miaka 5, probably aliona huna mwelekeo nae maana hukupiga hatua ya ziada kwenye uhusiano wenu ambayo ni uchumba. Akaona asijepoteza mda wake. Otherwise pole mkuu
 
Back
Top Bottom