Mapenzi kwanza, Umri ni namba tu

Mapenzi kwanza, Umri ni namba tu

Ataruka kuanzisha Uzi kuwa anaempenda anamuomba hela🤣 🤣
giphy 25.GIF
 
Jana nilibubujikwa na machozi ya huzuni baada ya kukataliwa na mdada fulani kisa kanizidi miaka miwili.

Nilikaa nikajiuliza kwa hiyo hii miaka miwili inatufanya nisitimize adhma yangu ya kuwa nae kimapenzi?

Jamani wewe kama dada unamkataa mwanaume aliyechini yako kiumri lengo lako linakuwa ni lipi sasa?

Bado nampenda na nitaendelea kumpenda japokuwa hana nia na mimi,ipo siku ataishi nami pamoja

Sio mbaya kuwa na mahusiano na mdada mwenye kukuzidi 2yrs.

Nakupenda sana my love japo umenikataa kwa kigezo cha umri.
usijidanganye, hajakukataa kwa sababu ya umri, kuna zaidi ya hapo
 
Mwanaume kujiita lovely emmy alafu wadada wasikukate, haiwezekani.

Baada ya kukataliwa ukaenda chumbani au kwa mama kulia!?
Wanaume tunapungua kwa kasi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom