Mapenzi kwanza, Umri ni namba tu

Mapenzi kwanza, Umri ni namba tu

Tafuta hela kwanza,
Ukisha zipata,watakuja kupanga foleni wenyewe,tena wa kila aina na wa kila umri,
Kisha unajichagulia tu.
 
Tafuta hela kwanza,
Ukisha zipata,watakuja kupanga foleni wenyewe,tena wa kila aina na wa kila umri,
Kisha unajichagulia tu.
Sio wote mie nimempata mtu tajiri yeye ana 26 mie 30+ nikakataaa kijana anamaduka dar na hapa ana hardware ana supermarkets mbili moja dar na arusha iko moja . Ana duka za spea za magari ,ananyumba 3 moja ipo sakina arusha mbili zipo dar . Ukiacha mali alizonazo kwao wanahela balaaa ningeolewa naye saivi na mtoto 1 naningeolewa kiheshima ila sasa naogopa huo umri na mie ni aibu kuvua kiupi . Hadi naleo anataka kunioa mie naogopa nazima simu .
 
Jana nilibubujikwa na machozi ya huzuni baada ya kukataliwa na mdada fulani kisa kanizidi miaka miwili.

Nilikaa nikajiuliza kwa hiyo hii miaka miwili inatufanya nisitimize adhma yangu ya kuwa nae kimapenzi?

Jamani wewe kama dada unamkataa mwanaume aliyechini yako kiumri lengo lako linakuwa ni lipi sasa?

Bado nampenda na nitaendelea kumpenda japokuwa hana nia na mimi,ipo siku ataishi nami pamoja

Sio mbaya kuwa na mahusiano na mdada mwenye kukuzidi 2yrs.

Nakupenda sana my love japo umenikataa kwa kigezo cha umri.
Wanaume tulio na asili ya kiume hata nikipenda vipi kumlilia demu mwiko na nikimpenda sana demu kumuoa mwiko

Hizi ni code za wanaume tu wavulana mpka wakasome
 
Hii ni sampuli ya wanaume ninaowatombeaga wake zao,badilika kabla sijakutana na mke wako
 
Sio wote mie nimempata mtu tajiri yeye ana 26 mie 30+ nikakataaa kijana anamaduka dar na hapa ana hardware ana supermarkets mbili moja dar na arusha iko moja . Ana duka za spea za magari ,ananyumba 3 moja ipo sakina arusha mbili zipo dar . Ukiacha mali alizonazo kwao wanahela balaaa ningeolewa naye saivi na mtoto 1 naningeolewa kiheshima ila sasa naogopa huo umri na mie ni aibu kuvua kiupi . Hadi naleo anataka kunioa mie naogopa nazima simu .
Kwani unaogopa kuvua chupi huko kwenyewe kuna nini kipya
 
Jana nilibubujikwa na machozi ya huzuni baada ya kukataliwa na mdada fulani kisa kanizidi miaka miwili.

Nilikaa nikajiuliza kwa hiyo hii miaka miwili inatufanya nisitimize adhma yangu ya kuwa nae kimapenzi?

Jamani wewe kama dada unamkataa mwanaume aliyechini yako kiumri lengo lako linakuwa ni lipi sasa?

Bado nampenda na nitaendelea kumpenda japokuwa hana nia na mimi,ipo siku ataishi nami pamoja

Sio mbaya kuwa na mahusiano na mdada mwenye kukuzidi 2yrs.

Nakupenda sana my love japo umenikataa kwa kigezo cha umri.
😃
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom