Mapenzi kizungumkuti

Mapenzi kizungumkuti

Ni dumb na loose gals ndo huwa wanagegedwa sec skul its very rare 4a smart gal kugegedwa sec ask kaunga will tell u
wakati wengi wao tumewagegeda huko secondary
 
Tehe tehe eliiii,yes i was still virgin

Mmmmmh! Ulisoma wapi na miaka gani? Manake kama it was baada ya 2000, nakuwa na wasiwasi.. hata sisi tuliosoma in the 90s tuliwaona wakitoa dengu saana tu, by then mi nliyasikia mapenzi kwenye redio. I knew nothing about love making.
 
Pole sana dada. Ndo changamoto za mapenzi hizo. Mi nakushauri umkubalie tu muanze maisha. You never know kwa nini karudi kwako ingawa alikupiga chini. unaweza ukamwacha then ikafika time ukamwitaji na akawa tayari kashapata barafu wa moyo wake.
 
Last edited by a moderator:
Ni dumb na loose gals ndo huwa wanagegedwa sec skul its very rare 4a smart gal kugegedwa sec ask kaunga will tell u

so u telling me kuwa there are alot of dumb gals out there....that explains alot
 
Acha nae u r new brand you 🙂🙂anataka kukufanya option????? Noooooo ..........way
 
Mie ni wife material tena i can make bonge la wife ka michelle obama but nimegundua africans men hawana shukrani wala mapenzi ya dhati so nimeamua kutoitaka hiyo label ya wife in my life

African men wapo decent tutake radhi, he will never make you sleep with a dog kama ngozi nyeupe.
 
Haha shosti tatizo mie sina habari na ishu za ndoa simfil hata tone ila namwonea huruma alivyo desperate hope atapata wife material aoe

Hhahah eti yuko desperate, ndio akome kuleta mapozi pasipostahili mapozi
 
ulikuwa na moyo shost kuanza kuuliza kama kuna nafasi kwahitaj kamoyo ka ziada ati

Habari zenyu banaaa wakati niko a levo niliwahi fall in love deeply like never b4 . Kijana mwenyewe alikuwa handsome usipime ,ila msela baada ya kugundua nampenda alinitesa xana,nilikuwa naumwa mapenzi ati. Well tukatengana wakati huo tuko chuo,akatangulia kumaliza akapotea,nami nikafinito nikaingia kitaa. After mwaka tukameet nikiwa na job yangu naye mambo yake safiii,nikamwuliza aje aje?nafac bado ipo kwani mi niko singo kimtindo akasema no chance and he is about to get married. Niliget hurt 4sure. Bac ukawa mwisho wa mawasiliano kati yetu since then.Sasa majuzi nimekutana naye kikazi,after kikao akaomba tukachill sehemu. Tukala na kunywa vya kutosha then kanipa mkanda oooh i didnt marry the lady kumbe binti alikuwa na jamaa yake na ndo alimwoa after ujauzito, akanambia so gal ka vipi lets get married nimegundua u are ma true lover coz ulinipenda since skul na sikuwa na kitu. Nikabaki kinywa wazi kwani simfil kivile tena nadhani ulikuwa utoto na hata standing yangu kuhusu ndoa imechange sana tu. Vijana penda unapopendwa na bahati haicome twice.
 
Mie ni wife material tena i can make bonge la wife ka michelle obama but nimegundua africans men hawana shukrani wala mapenzi ya dhati so nimeamua kutoitaka hiyo label ya wife in my life

African men wapo decent tutake radhi, he will never make you sleep with a dog kama ngozi nyeupe.

usiwageneralise wote jaman mie my piper wangu is among the decent one si umemsikia mwenyewe hapo
 
Last edited by a moderator:
Habari zenyu banaaa wakati niko a levo niliwahi fall in love deeply like never b4 . Kijana mwenyewe alikuwa handsome usipime ,ila msela baada ya kugundua nampenda alinitesa xana,nilikuwa naumwa mapenzi ati. Well tukatengana wakati huo tuko chuo,akatangulia kumaliza akapotea,nami nikafinito nikaingia kitaa. After mwaka tukameet nikiwa na job yangu naye mambo yake safiii,nikamwuliza aje aje?nafac bado ipo kwani mi niko singo kimtindo akasema no chance and he is about to get married. Niliget hurt 4sure. Bac ukawa mwisho wa mawasiliano kati yetu since then.Sasa majuzi nimekutana naye kikazi,after kikao akaomba tukachill sehemu. Tukala na kunywa vya kutosha then kanipa mkanda oooh i didnt marry the lady kumbe binti alikuwa na jamaa yake na ndo alimwoa after ujauzito, akanambia so gal ka vipi lets get married nimegundua u are ma true lover coz ulinipenda since skul na sikuwa na kitu. Nikabaki kinywa wazi kwani simfil kivile tena nadhani ulikuwa utoto na hata standing yangu kuhusu ndoa imechange sana tu. Vijana penda unapopendwa na bahati haicome twice.

Hapo kwenye green nakubaliana nawe nikiwe, lakini mimi siku zote kulingana na comment zako nilijua wewe mambo ya kugegedwa hapana kumbe wapenda balaa, na ni mdau kichizi, ila kuwekwa ndani tu ndio kwako haramu, ee bwana ee leo umenifumbua macho, umepasua jipu.

Lakini nadhani bado ndoa ni mhimu zaidi kuliko kuendelea kugegedana na mara huyu mara yule, na kuna time itafika hata hao wanakuwa hawapo tena japo unakuta hamu ya kugegedwa bado ipo, lakini kama ni mume na mke aah, hata kama mmezeeka vipi raha mwapeana wenyewe taratibu katika hali ya uzee wenu, hivyo basi you better think twice juu ya ombi la huyo uliyepata kumpenda nadhani munaweza kuwa a very good couple.

Na mwisho kabisa maadamu your are an african lady, specically a Tanzanian, hebu badili hiyo mentality yako ya kusema Watanzania/waafrika hawajui mapenzi and so............, nadhani hata unaye sex naye sasa ni mbogo, so kumbuka mdau mmoja alikuambia siku moja hapa jukwaani "Never say never,..........., pia akamalizia na kila shetani na mbuyu wake" lara 1
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom