Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi...Ukimwambia No yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika..
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi? Ni ushamba?
Mkiwa ktk mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya !!!
Mungu atusamehe kwa Kuzini...
Dunia ya Leo shake well before use
Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi...Ukimwambia No yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika..
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi? Ni ushamba?
Mkiwa ktk mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya !!!
Mungu atusamehe kwa Kuzini...
Dunia ya Leo shake well before use
Si kwa wanaume tu ambao wanataka mapenzi kabla ya ndoa bali pia kwa wanawake. Wanawake nao wanataka wajiridhishe je huyu mwanaume ni rijali? Shake well before use.
Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi...Ukimwambia No yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika..
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi? Ni ushamba?
Mkiwa ktk mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya !!!