Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi...Ukimwambia No yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika..
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi? Ni ushamba?
Mkiwa ktk mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya !!!