Mapenzi husabasha kifo wakati fulani

Mapenzi husabasha kifo wakati fulani

JWKRMM

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2017
Posts
1,573
Reaction score
1,041
Mwanamke mmoja ambaye alikuwa anaishi na mme wa ndoa huko Kising'a ya Isimani Iringa aliuawa juzi kwa kukatwa mapnga na mme wake. Tukio hili lilitokea baada ya mwanamke huyo kudai talaka mahakamani na kupewa. Mara baada ya kupewa talaka akatuma sm kwa aliyekuwa mmewe nakumwambia naolewa na tajiri wewe maskini. Jamaa alimjibu leo ni mwisho wako kuona nuru. Usiku nasikia aliingiliwa kwake na kuchinjwa. Je kuna jambo umejifunza hapa?
 
Kwa jambo hili, limeonesha moja kwa jinsi mapenzi yanavyoweza kuwa shubiri.
Pia ujue kuna njia nyingine ambapo walio katika mapenzi huuana. Mfano, kuambukizana magonjwa kutokana na kukosekana uaminifu, maisha ya kutokuelewa, au tabia sugu za ulevi n.k. zinapelekea mwenza mmoja kutokuwa na raha ya maisha, hivyo kusababisha msongo wa mawazo, shinikizo la damu hadi kifo.
 
Kweli
Kwa jambo hili, limeonesha moja kwa jinsi mapenzi yanavyoweza kuwa shubiri.
Pia ujue kuna njia nyingine ambapo walio katika mapenzi huuana. Mfano, kuambukizana magonjwa kutokana na kukosekana uaminifu, maisha ya kutokuelewa, au tabia sugu za ulevi n.k. zinapelekea mwenza mmoja kutokuwa na raha ya maisha, hivyo kusababisha msongo wa mawazo, shinikizo la damu hadi kifo.
Kweli wewe amechambua vizuri
 
Huyu mama nae kwanini alituma text ya kebehi kwa ex husband?
 
Mapenzi ni ufala. Moyo wangu hauna mapenzi tena bali urafiki tu
 
Thamani ya maisha ( uhain wa mtu ) katika kizazi ( zama hizi ) hiki sio kitu kabisa....
 
ah! Kumbe altambishia kwa kejel kwamb anaolewa na na tajri! Akachukulia very simple,Alikuwa hajui maumivu ya mapenz yanauma kupita hata msiba
 
Kifo kilikuwa kinamuita huyo..
Mwanamke yoyote mwenye kumdharau Mwanaume kwa sababu ya umasikini wake, huyo amelaaniwa...!

Historia inaonesha katika maisha ya Manabii au Mitume, ni Mfalme Suleiman pekee aliyekuwa na Ukwasi/Ngawira za kutosha..!
 
Back
Top Bottom