MAPOUDA
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 446
- 294
Muda mwingi huwa nafikiria sana na kujiuliza kwa nini mapenzi, nikiwaangalia wenye pesa wanaumia sana, na wasio kuwa nazo wanaumia sana.Bado najiuliza nin tatizo katika hilo.
NAPATA PICHA kumbe mapenzi si kile tu ulichonacho Bali ulivyonavyo
Kwanza uwe japo na pesa kidogo unaweza ukamiliki mwanamke yeyote umtakae.
Pili uwe mjuvi kitandani ujue kucheka na nyavu na uhakikishe mwenza wako anaenjoy vya kutosha mpaka kila wakati anakukumbuka
Tatu ujue kunyenyekea kubembeleza na pls hata kama kakosa wewe mpls tu nafs irizike moyoni anajua kakosea
Nne usiwe na mkono mwepesi kupiga, kuna wanawake hawapendi kupigwa bora umnyime pesa kuliko kumpiga
Tano na mwisho muda na kutoka outing mbalimbali
Kwahiyo ukikosa hivyo kati ya kimoja ni lazima alama ya usaliti itokee ana akatokea mtu anajua udhaifu basi lazima apite nae
NAPATA PICHA kumbe mapenzi si kile tu ulichonacho Bali ulivyonavyo
Kwanza uwe japo na pesa kidogo unaweza ukamiliki mwanamke yeyote umtakae.
Pili uwe mjuvi kitandani ujue kucheka na nyavu na uhakikishe mwenza wako anaenjoy vya kutosha mpaka kila wakati anakukumbuka
Tatu ujue kunyenyekea kubembeleza na pls hata kama kakosa wewe mpls tu nafs irizike moyoni anajua kakosea
Nne usiwe na mkono mwepesi kupiga, kuna wanawake hawapendi kupigwa bora umnyime pesa kuliko kumpiga
Tano na mwisho muda na kutoka outing mbalimbali
Kwahiyo ukikosa hivyo kati ya kimoja ni lazima alama ya usaliti itokee ana akatokea mtu anajua udhaifu basi lazima apite nae