Mapenzi haya!!! , naombeni ushaur wenu

Mapenzi haya!!! , naombeni ushaur wenu

Hahahaa! Usijali ila usije ukachakachuliwa wewe
Mi mjanja wewe... hivi nyakati hizi unawezaje kwa mfano kuacha hela nyumbani?? Au hizi hela anazozungumzia huyu mwizi ni vichenji alivyovikuta kwenye dressing table??
 
huo ni wizi wa kuaminiwa,halafu jamaa aliacha mlango wazi?

sielewi umeingiaje kama siyo jambazi
 
Mi mjanja wewe... hivi nyakati hizi unawezaje kwa mfano kuacha hela nyumbani?? Au hizi hela anazozungumzia huyu mwizi ni vichenji alivyovikuta kwenye dressing table??
Hivyo vitakuwa vichenji aisee mana wakati huu sio rahisi kama ilivyozoeleka.
 
Hivyo vitakuwa vichenji aisee mana wakati huu sio rahisi kama ilivyozoeleka.
Basi kumbe haka kademu sio kaizi... haka ni kakibaka tu. Hako ukiwa na buku tano tu unakapeleka mash mash gesht haush bila shuruti
 
Basi kumbe haka kademu sio kaizi... haka ni kakibaka tu. Hako ukiwa na buku tano tu unakapeleka mash mash gesht haush bila shuruti
Tena katakuwa kazoefu kangekuwa kanaanza kangekuwa na uoga kidogo
 
Kanadai kalikuta mlango wazi. Ila utakuta kalikuwa kamechonga funguo sio bure
Nani ataacha mlango wazi usiku kucha miaka hii?? Afu akijua kabisa kaacha na mahela. Haka kakibaka kalivunja kitasa lazima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom