Hah hah hapo kwenye pesa lazima mtapendana bure tu 😀😀 ila kumbuka jasho la mtu halilambwi!
Nina mpnz wngu, kawaida yake ilikua hawez kulala bila kunichek uck tuongee kidogo na ndio tulale, asa cku mbili hizi nimwona kidogo kachange co kama alivyokua, na jana aliwahi sana kuzima cm yake mi namtafuta uck nikawa cmpati, hadi kumekucha pia nikawa namchek hapatikan,,, ila mida flan akapatikana ila akawa hapokei cm yangu na akawa hapatikan tena, asa mm akili zngu zikanituma niende kwake nikajue mbivu na mbichi,,, mtoto wa kike nikafunga safar had kwake![]()
![]()
nilipofika sikumkuta na nilipouliza majirani wakaniambia kua jana hakurudi nikaingia ndani ili niweze kidogo kupumzisha akili na nijue nifanyeje, asa pale ndani nikakuta kuna pesa kaziacha ni pesa nyingi kidogo kwa usawa huu wa Magu,, nikachukua zile pesa nikasema hizi ndo zitaenda kupunguza machungu yngu, nikabeba zooote cjabakisha hata kumi! Huku nikiendelea kuchat nae na akanijib kua yupo mbali kidogo na cm yake haina chaji inazima, akiweka chaji atanitafuta, ila hapo alikua hajui kama nipo kwake,,, asa naona kati ya wale majiran zake kuna mmoja alimtonya na kumwambia mi nipo pale, na mm nikasema kama kaamua kunidanganya na mm nachukua hizi pesa kisha nasepa,, Basi bwana nikachukua zile pesa nikasepa zngu!!! Huku nyuma alivyoambiwa nimesepa akatuma waje wanifate nirud kwa sababu alijua kwa vvyote vile ntakua nimechukua pesà zake, akawa ananipigia na kuniomba nirud, nikakataa na nikamwambia pesa zako zote nimechukua! Na saiv ananiomba sana nirudishe zile pesa kwa madai hazikua zake!!! Na mm nimegoma kurudisha na kesho nasafir zngu, SA JE MNANISHAURI NIMRUDIDHIE PESA ZAKE AU MI NIKALE BATA MBELE KWA MBELE KUJIPONYESHA MAUMIVU ALONIPA?????
![]()
iwe funzo kwake!
hah hah you nailed it😡😡 rubii sikuezi aisee! Lakini nini suluhisho lake sasa, kwamba kachukua pesa na mpenzi ndio mwisho au ikoje hiyo..please acknowledge! hah hahZinalambwa shahawaitakua jasho?
Natamani mimi ningekua huyo boyfriend wako, hakika ungejuta kwa uamuzi uliouchukua. Napenda sana watu wanofanya maamuzi kwa kukurupuka. Pesa zina uhusiano gani na ugomvi wenu?Nina mpnz wngu, kawaida yake ilikua hawez kulala bila kunichek uck tuongee kidogo na ndio tulale, asa cku mbili hizi nimwona kidogo kachange co kama alivyokua, na jana aliwahi sana kuzima cm yake mi namtafuta uck nikawa cmpati, hadi kumekucha pia nikawa namchek hapatikan,,, ila mida flan akapatikana ila akawa hapokei cm yangu na akawa hapatikan tena, asa mm akili zngu zikanituma niende kwake nikajue mbivu na mbichi,,, mtoto wa kike nikafunga safar had kwake![]()
![]()
nilipofika sikumkuta na nilipouliza majirani wakaniambia kua jana hakurudi nikaingia ndani ili niweze kidogo kupumzisha akili na nijue nifanyeje, asa pale ndani nikakuta kuna pesa kaziacha ni pesa nyingi kidogo kwa usawa huu wa Magu,, nikachukua zile pesa nikasema hizi ndo zitaenda kupunguza machungu yngu, nikabeba zooote cjabakisha hata kumi! Huku nikiendelea kuchat nae na akanijib kua yupo mbali kidogo na cm yake haina chaji inazima, akiweka chaji atanitafuta, ila hapo alikua hajui kama nipo kwake,,, asa naona kati ya wale majiran zake kuna mmoja alimtonya na kumwambia mi nipo pale, na mm nikasema kama kaamua kunidanganya na mm nachukua hizi pesa kisha nasepa,, Basi bwana nikachukua zile pesa nikasepa zngu!!! Huku nyuma alivyoambiwa nimesepa akatuma waje wanifate nirud kwa sababu alijua kwa vvyote vile ntakua nimechukua pesà zake, akawa ananipigia na kuniomba nirud, nikakataa na nikamwambia pesa zako zote nimechukua! Na saiv ananiomba sana nirudishe zile pesa kwa madai hazikua zake!!! Na mm nimegoma kurudisha na kesho nasafir zngu, SA JE MNANISHAURI NIMRUDIDHIE PESA ZAKE AU MI NIKALE BATA MBELE KWA MBELE KUJIPONYESHA MAUMIVU ALONIPA?????
![]()
iwe funzo kwake!
hah hah you nailed it😡😡 rubii sikuezi aisee! Lakini nini suluhisho lake sasa, kwamba kachukua pesa na mpenzi ndio mwisho au ikoje hiyo..please acknowledge! hah hah
Kwa majibu haya......Kama aliona anajipendekeza kwangu basi habari anayo!![]()
Alivyonikosesha ucngiz uck kucha je! Mi cmuonei huruma hata kidogo
Hakuna haja ya kujua uwezo wake aiseeeeeee.......Kuchangia Mazda zingne zinahitaji ujue uwezo wa mleta maada
Asanta......MKE mwema anatoka kwa bwana" usiku mmoja tuu unalia kuna wanaume wanakaa wiki mbili na mwanamke still unavumilia...kama ulmpnda ndo ivo ila we ulkua kimaslahi
Nimecheka sana kwenye umaliziaji kwa emoji......Wewe ni mwizi
Na unaonekana you are so proud of it!
Some women are just![]()

Hahahah!Nimecheka sana kwenye umaliziaji kwa emoji......![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
haki ya Mungu kuna binadamu na watu
Hawezi akawa ni mwanamke, bilashaka atakua ni msichana mwizi mwizi flani hivi....Hahahah!
Huyu mwanamke anazingua wallah!