Mapenzi haya kero nishaurini

Nachotaka tukiwa kazini mapenzi tuweke kando tufanye kazi kwa amani sasa hatua ya mpaka kutoagana
Kama hicho ndicho unacho taka unaamn ukiandika humu utakipata??? Wanawake wengi mtaishia kuchezewa badala ya kujenga future zenu

Yaani una miaka 32 alafu unalalamika kwa mzee wa miaka 65 kisa Mapenz au vijisent ivi uko serous kweli????
 
Yale yale ya Mengi na Klynn
 
Mungu wa mbinguni akuokoe. Ila natamani nikwambie kitu. Japo unisamehe kama ntakukwaza dada. Kwa umri wako sio mdogo ila sio mkubwa kiasi cha kukata tamaa kufikia hatua ya kudate na mtu mzima hivyo. Kaa utafakari upya nn unataka kutoka kwa huyo mzee. Usiuze utu wako kwa sababu ya vijisent kwan kwa hivyo vijisent utaendelea kupoteza muda wa kufanya maendeleo. Ongeza muda wa kumtafuta Mungu kwa imani yako badala ya kuendelea kumtumikia shetan ambae pensen yake ni mauti. Mi nakuombea tena Mungu akuguse.
 
Binafsi nadhani kwa umri wako huo unatakiwa kutafuta stable relationship, sio kutafuta mtu ambaye kwa hakika hana future na wewe.
 
Sasa unategemea mtu kama hyo awe na ww tu s ajabu anawazunguka ofisin wote afu nyie ndo mnshinda insta mnamsakama mke wa mengi hv kwan ukifanya kazi bila kuingiza mapenz hazifanyik et humuhurumii hata hyo mchumba wako jamn
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…