Mapenzi haya kero nishaurini

Mapenzi haya kero nishaurini

Cataliyya

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
781
Reaction score
378
Habari wapendwa, Mimi (miaka 32) nimetokea kua na mahusiano na mbaba mmoja hivi hapa ofisini (yupo kwenye miaka 65 hivi) pia hua ananipaga vijisent vya matumizi.

Sasa hapa ofisini kuna mdada huwa anajipitisha pitisha kwa huyu mbaba pia naona wapo karibu.

Sasa Jana kama kawaida yetu akataka tukumbatiane (tushikane) sikukataa nikainuka ila nkamwambia niko period na kwamba imeanza ghafla, mzee akaondoka akijiuliza maswali hakuniamini akaniambia nna mpango wangu wakati kabla ya hapo alikua anavumilia hivyo hivyo.

Sasa leo bosi akamwambia huyu baba na huyu dada anaejipitisha pitisha waende ofisi flani hivi pamoja. Wakati wanaondoka huyu baba akamuaga dada mwingine hapa ofisini
mimi hakuniaga ukizingatia wote tupo ofisini moja.

Sasa ni picha gani hii anaonyesha tukiwa kazini? Mnanishaurije?
 
Subiri video itasemaje.

Wanawake mnapenda kulalamika sasa huyo mzee ni mmeo au mpenzi wako? Na kama ni mpenzi wako hayo mamlaka ya mkewe unayatoa wapi?

Anakusaidia maisha hivyo bebeka, na kama hakusaidii maisha hebu jaribu kumuacha uone.
 
Kitu kitamu unachangia na wenzio.
Acha na huyo dada ajichanganye naye! Kwa sababu inaonekana hata wewe si mume wako.
Maana miaka 65 atakuwa na mke na watoto wake. So nyote ni michepuko tu.


Kwani umeshaolewa au bado?
Tuanze na hilo kwanza.
 
Subiri video itasemaje.

Wanawake mnapenda kulalamika sasa huyo mzee ni mmeo au mpenzi wako? Na kama ni mpenzi wako hayo mamlaka ya mkewe unayatoa wapi?

Anakusaidia maisha hivyo bebeka, na kama hakusaidii maisha hebu jaribu kumuacha uone.

Nachotaka tukiwa kazini mapenzi tuweke kando tufanye kazi kwa amani sasa hatua ya mpaka kutoagana
 
Wakati mwingine inabidi mambo yatibuke kwanza kabla ili mkija kuombana msamaha na kuwekana sawa kila mmoja anakuwa na shauku sana ya kusokotana na mwenzi wake. Kwa wanawake huwa mnalowana kinoma wakati wababa huwa mikuyenge inadinda hadi utadhani inataka kung'oka - mkichapana miti inakuwa ni tamu balaa
 
Ndiyo maana siku hizi mvua hazinyeshi na zikinyesha zinakuja kwa hasira. Hadi vimbunga vinatishia amani.

Huyu atakuwa mdogo wake Dr Kapuya.
Avumilie tu ili wale wote pensheni.
Hivi ofisi ipi hiyo wazee mpaka 65 wanapiga kazi tu!!! Huyo ni baba ako huoni hata aibu kuangalia mkuyenge wake!!!, Tafuta size yako akuoe
 
Yaani ni zee moja hivi halina aibu limejibanza ofisini moja hivi ya shirika la dini baada ya kustaaf TRA
Wewe ndiye huna aibu ulikuwa na akili za panzi wakati anakutanua miguu na kukumwagia kamasi zake katikati ya mapaja yako?

Muda mwingine mjiheshimu kwanza, kwa maana hiyo wewe unaweza kulala hata na mzee wako na usione ajabu.
 
Unaweza ongea nae ujue tatizo nini ila njia nzuri ni kuachana nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom