Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Mamvi ni sehemu ya tatizo hawezi kufikiri nje ya box
hali ni tete kuliko kawaida. Halafu eti mamvi alpozungumza na waandishi wa habari alimsifia mwanafunzi aliyemchora Messi. Anadai et mwanafunzi ana akili ndo maana anamjua Messi. Nlshangaa sana.