BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
kuna watu mna bahati zenu jamani. hata mwezi hujamaliza tayari watu washaonesha interest huko PM!! wengine miaka inakatika bila bila
umukagame
Yesterday 11:36
#1
Senior MemberArray
Join Date : 10th April 2014
Posts : 225
Rep Power : 348
Likes Received25
Likes Given9
Nimemuacha rasmi leo! Habari z jumapili wakuu
Sasa ni hivi,baada ya kutoka club jana usiku na mpenz wangu leo nimeamua niachane nae rasmi!moyo wangu ndiyo umeamua hivyo sijashawishiwa na mtu yyte!
Tatizo linakuja ntakuwa na na nani,vijana walioniuproch hawana hela kivile so siwez kuwa nao,kuna wababa kama wa3 watu wazito wanantaka nafikiria niwe na mmoja japo simpend hata kidogo,nijiweke tu kwa mda,cz siwez kuwa alon au nifanyaje wapendwa coz siwez mpotezea mkaka wa watu muda nimeamua nimuwache atafute mtu wa dini yake awowe!
Nipeni ushauri
Usinitukane coz ndo lyf yangu
Sasa hapa kataa kama huyo mbaba hajala vitu.
kama Dady wako ni mambo safi sasa kwanini ulikuwa una mind mshiko kihivi, wewe ndo ulijilengesha kwa hiyo miding ukaamua uchague mmoja mwenye mshiko mrefu na ukawa una du nae, KATAA NISIKIE NITOE USHAHIDI MWINGINE
Si umesema kuwa wewe bado mdogo? Ok huyo boy ni kweli ulimwacha kwa sababu za kiimani au kwa kuwa alikuwa na mshiko mbuzi na wewe unataka wenye pesa ndefu? kuwa mkweli tu, it wont cost a thingSijadu na mmbaba he was ma boyfrnd
swali la mwisho kwako umukagame, umesema kuwa wewe bado mdogo, je mdogo wa umri au mdogo kwa hiyo mibaba? je umeamua kuokoka kuachana na hiyo mibaba tu au na sisi vijana wenzako pia?
Si umesema kuwa wewe bado mdogo? Ok huyo boy ni kweli ulimwacha kwa sababu za kiimani au kwa kuwa alikuwa na mshiko mbuzi na wewe unataka wenye pesa ndefu? kuwa mkweli tu, it wont cost a thing
Me mdg kwao sana kama mtoto wao wa kunizaa emagine kama baba yangu,,nimeamua kuachana nao kabisa vijana wenzangu pia kwa sasa sihitaj natulia kwanza
Kwani umekuwaje ulipokua ukihangaika ulikua unawaza nini binti? we kama hutaki nyuti unamuwekea nani matangazo ili iweje sasa???Nimeamua niokoke sasa,mapenzi basi mibaba inanitamani tu nimefikiria sana mie bado mdogo sna,nikiendekeza starehe ntakufa mapema naichukia mibaba yote inayonisumbua kwa pesa zao nawachukia kutoka moyoni,nimeblock namba zao woooote!nimeamua kuwa peke yangu kwanza!
Na wote mnaonisumbua pm someni hapa sitaki usumbufu tena na kama una namba yangu usinipigie sm tena!huu ndio uamuzi wangu,
kuna watu mna bahati zenu jamani. hata mwezi hujamaliza tayari watu washaonesha interest huko PM!! wengine miaka inakatika bila bila
Nikisema nakuwa huru