Mapenzi baharini

Mapenzi baharini

Usitake kusema umefanya mapenzi baharini na umetia mtu mimba mtu then unataka tukushauli ufanyajee
 
Hawayuni?

Kipindi hiki cha likizo ndefu Kenya na haswa watu wanaposherehekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya watu wengi hupenda kutembea baharini kama Mombasa.

Wengi hupenda kuogelea na wapenzi wao na hata wengine kufikia hatua ya kutaka kufanya mapenzi baharini tena ndani ya maji.

Nimesikia ya kuwa mwanamke akifanya mapenzi baharini na apate mimba, mtoto huyo huwa na mapepo, au hata kuwa na akili za kishetani shetani kwa sababu bahari imejaa majini, mapepo na hata mizimu.

Hivi hizi ni fununu za ukweli au ni vioja tu wakuu?
Ni imani ya Kiswahili hakuna kitu kama hicho.
 
Saba na cta ucku kuna nn mkuu?

Niliskia tu kwa watu saa saba sio mda mzuri kujisogeza baharini inasemekana hutoka na kukaa ufukweni na mda wa usiku mkubwa ila sana visiwani mtafute mvuvi mzoefu muulize wale wanaovua usiku watakujuza maana hawa wanajua mengi nawanakutana na vitimbi vingi.
 
Vipi ukifanyia bafuni kwenye yale mabeseni ya kisasa na mapovuuuuuu, hivi yanaitwaje vile?
 
Niliskia tu kwa watu saa saba sio mda mzuri kujisogeza baharini inasemekana hutoka na kukaa ufukweni na mda wa usiku mkubwa ila sana visiwani mtafute mvuvi mzoefu muulize wale wanaovua usiku watakujuza maana hawa wanajua mengi nawanakutana na vitimbi vingi.

Nimekupata mkuu
 
Back
Top Bottom