Dr. Harrison Mwakyembe
Yule Waziri Matata Agrey Mwanri Yuko Wapi? Ningependa Awe Ndiye Waziri Mkuu.
Mambo gani yaliyoenda hadi sasa...
!!!
Yaani Mpina umeamua kuja kujipigia debe mwenyewe kabisa? Kwa sifa gani mkuu mpaka tukupe uwaziri mkuu? Hii haitakaa njema maana wote watakuwa Wasukuma hiyo haitapendeza kabisa!!LUHAGA MPINA ndiye waziri mkuu mpya.. tusubiri ..
hahaha ..kwa hiyo wewe utaki chapa ng'ombe kabisaa..Yaani Mpina umeamua kuja kujipigia debe mwenyewe kabisa? Kwa sifa gani mkuu mpaka tukupe uwaziri mkuu? Hii haitakaa njema maana wote watakuwa Wasukuma hiyo haitapendeza kabisa!!
habar wakuu,mbunge wa kigoma mjini Zitto Kabwe akiwa anahojiwa na Millard Ayo aliulizwa utabir wake kuwa nani atakuwa wazir mkuu Zitto akasema wazir mkuu atatokea mkoa wa LINDI au TANGA
source:clouds fm
Huyu kazoe mambo ya kishirikina tu mengine hayawezi tena.habar wakuu,mbunge wa kigoma mjini Zitto Kabwe akiwa anahojiwa na Millard Ayo aliulizwa utabir wake kuwa nani atakuwa wazir mkuu Zitto akasema wazir mkuu atatokea mkoa wa LINDI au TANGA
source:clouds fm