Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

Mkuu umeongea jambo la maana!
Inakuwaje hapo ikulu mambo yana vuja kiulaini kiasi hiki??
Hapa nilipo nina nakala ya gazeti la mawio la juzi,!
Linahabari ya Hotuba ya Raisi atakayo toa huko bungeni!
Najiuliza huko ikulu mbona kumeoza kiasi hiki???
Itabidi mkulu ashauriwe kuanza kuisafisha ofisi yake ya magogoni kwanza kwa ustawi wa administration yake!!

kweli mkuu...itabidi vasco da gama legacy yote
ing'olewe hata kwa fagio la chuma.
 
Natamani iwe kweli. Prof Muhongo namkubali sana.

haa haa ina maana katika ahadi ile ya mh. rais ya kuwashughulikia mafisadi na majizi kupitia mahakama atakayoianzisha ina maana mafisadi wa escrow hawahusiki? mweh. naomba isiwe kweli...
 
Wanajamvi,
Salaam!
Nimeandika km tetesi kutokana na ile sheria yetu ya cyber crime. Lkn hii taarifa nimepenyezewa na mtu nyeti kabisa kutoka jikoni.

Kulikuwa na mvutano na baadhi ya washauri wa Dr. Lkn mkuu wa nchi kawakatalia na kusema nchi hii kwa sasa inahitaji waziri mkuu anayefanana na Rais ktk kutekeleza kauli mbiu ya"hapa kazi tu".

Narudia tena huu siyo utabiri ndicho kitakachotokea wiki ijayo.

Mods msifute uzi wangu,subirini kunipiga ban km nilichosema hakitatokea..!

Unambip John Pombe; atakupigia push up ha ha ha
 
Muhongo hahusiki na escrow. Hizo ni siasa na bahati mbaya Magufuli na Muhongo sio wanasiasa. Chaguo sahihi 100%.
Wapiga siasa kumbukeni muda wa siasa umekwisha. Mnamtumikia Mengi! Mengi si lolote ktk serikali ya awamu ya tano. Inabidi aufyate vinginevyo tutamfilisi.
 
Dah mbona itakuwa pigo sana pale mitaa ya mikocheni kwa mzee wetu?
Yote kwa yote Muhongo anafaa sana maana jamaa hana siasa kwenye ukweli anasimamia ukweli tu,
 
Hata Prof Anna Tibaijuka anafaa pia ... Ushindi wa wizi wa kura hupelekea wezi kuongoza dola ... Mwekeni Chenge awe waziri wa katiba na sharia ... Sethi Harbinder mpeni viwanda na biashara ... Manji mpeni nishati na madini ... CCM Oyee
Wanajamvi,
Salaam!
Nimeandika km tetesi kutokana na ile sheria yetu ya cyber crime. Lkn hii taarifa nimepenyezewa na mtu nyeti kabisa kutoka jikoni.

Kulikuwa na mvutano na baadhi ya washauri wa Dr. Lkn mkuu wa nchi kawakatalia na kusema nchi hii kwa sasa inahitaji waziri mkuu anayefanana na Rais ktk kutekeleza kauli mbiu ya"hapa kazi tu".

Narudia tena huu siyo utabiri ndicho kitakachotokea wiki ijayo.

Mods msifute uzi wangu,subirini kunipiga ban km nilichosema hakitatokea..!
 
Muhongo hahusiki na escrow. Hizo ni siasa na bahati mbaya Magufuli na Muhongo sio wanasiasa. Chaguo sahihi 100%.
Wapiga siasa kumbukeni muda wa siasa umekwisha. Mnamtumikia Mengi! Mengi si lolote ktk serikali ya awamu ya tano. Inabidi aufyate vinginevyo tutamfilisi.

haa haa mahaba kazini....
 
Yeyote aliyewahi kuwa na kashfa hawezi kuwa wazir mkuu. Wabunge mahiri wa ccm wamedhamiria hilo lisitokee kwa kuungana na wa Ukawa kupiga kura ya kumkataa yeyote aliyeshiriki kwenye kashfa yoyote kwenye kikao kijacho. J PM utakuwa mtihani wake wa kwanza la sivyo itabidi apeleke jina mara ya pili na kusababisha muda wa bunge kuongezwa
 
Back
Top Bottom