1. OFISI YA RAIS |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) |
Ndugu George Mkuchika |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (UTUMISHI) |
Ndugu Celina Kombani |
2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO) |
Ndugu Samia H. Suluhu |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA) |
Dr. Terezya P.L. Huvisa |
Ndugu Charles Kitwanga |
3. OFISI YA WAZIRI MKUU |
WAZIRI MKUU: Dr. Harrison Mwakyembe |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) |
Ndugu Mary M. Nagu |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) |
Ndugu Hawa Ghasia |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Uratibu na Bunge) |
Ndugu William V. Lukuvi |
Ndugu Majaliwa K. Majaliwa |
Ndugu Aggrey Mwanry |
4. WIZARA |
Wizara Ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki |
Waziri: Ndugu Samuel J. Sitta |
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa |
Wizara Ya Ujenzi |
Waziri: Dr. John P. Magufuli |
Wizara Ya Afya na Ustawi wa Jamii |
Wizara Ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi |
Wizara: Dr. Shukuru J. Kawawa |
Wizara Ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto |
Waziri: Ndugu Sophia M. Sia |
Wizara Ya Mao ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa |
Waziri: Ndugu Bernard K. Membe |
Wizara ya Katiba na Sheria |
Waziri: Ndugu Mathias M. Chikawe |
Wizara Ya Mao ya Ndani ya Nchi |
Wizara Ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi |
Wizara Ya Kazi na Ajira |
Waziri: Ndugu Gaudentia M. Kabaka |
Wizara Ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia |
Wizara Ya Ardhi Nyua na Maendeleo ya Makazi |
Waziri: Prof. Anna K. Tibaijuka |
Wizara ya Maji |
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum |
Prof. Mark Mwandosya |
Wizara Ya Kilimo Chakula na Ushirika |
Waziri: Eng. Christopher Chiza |
Wizara Ya Uchukuzi |
Waziri: |
Wizara Ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo |
Waziri: Dr. Fenella E. Mukangara |
Wizara Ya Maliasili na Utalii |
Wizara Ya Viwanda na Biashara |
Waziri: Dr. Abdallah O. Kigoda |
Wizara ya Fedha |
Wizara ya Nishati na Madini |
Waziri: Prof. Sospeter Muhongo |
Ni baraza la mawaziri au ni kigango?WAPENDA MAENDELEO TUMSAIDIE RAISI WETU KWA KUMPA MAPENDEKEZO YETU ...
Orodha hii indelezwe..
1
John Magufuli
Waziri Mkuu
2
Sospeter Muhongo
Nishati Na Madini
3
Samuel Sitta
Waziri wa Sheria na Katiba
4
Edward Lowassa
Waziri TAMISEMI
5
Prof Kuzilwa (Mzumbe University)
Wizara ya fedha
6
Dr.Harrison Mwakyembe
Uchukuzi
7
Mrema Lyatonga Augustino
Waziri Mambo ya Ndani
8
Prof. A.W .Mayo (UDSM)
Wizara ya maji
9
Prof Ninatubu Lema
Wizara mambo ya nje
10
Anna Tibaijuka
wizara ya nyumba na makazi
11
Prof. Dr. Kallunde P. S (SUA)
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika
Ndio wasomi wenyewe waliopoNi baraza la mawaziri au ni kigango?
Nakubaliana na wewe tubadilishe jina la nchi basi liitwe kwa mujibu wa wasomi walipo.Ndio wasomi wenyewe waliopo
kweye red sijapenda kabisa, weka neno lingine bac plsNi baraza la mawaziri au ni kigango?
Ongezea na hao...dk nagu, dk mwakyembe , dr kikwete, dk mzindakaya, dk mwinyi nimesikia mkapa nae ni dk sijui kama ni kweli..ongezea tuuu dk mkapaWote hawafai wameshindwa kutimiza wajibu wao wengine walishatemwa kabla wa nini sasa? Na hao maprofesa wa vyuo ndo hamna kitu kabisa wanazo akili za kufundishia lakini sio kutatua kero za wananchi kivitendo. Tulishakuwa na wengi kina Prof. Kapuya, Prof. Msolla, prof. Magembe, prof. Mwakyusa, Dr. Kamara, Dr. Kawambwa n.k hamna walichotufanyia na usomi wao wote
Mbona jana langu hamkulitaja? Kwani mie namewakosea nini wajameni?
WAPENDA MAENDELEO TUMSAIDIE RAISI WETU KWA KUMPA MAPENDEKEZO YETU ...
Orodha hii indelezwe..
1
John Magufuli
Waziri Mkuu
2
Sospeter Muhongo
Nishati Na Madini
3
Samuel Sitta
Waziri wa Sheria na Katiba
4
Edward Lowassa
Waziri TAMISEMI
5
Prof Kuzilwa (Mzumbe University)
Wizara ya fedha
6
Dr.Harrison Mwakyembe
Uchukuzi
7
Mrema Lyatonga Augustino
Waziri Mambo ya Ndani
8
Prof. A.W .Mayo (UDSM)
Wizara ya maji
9
Prof Ninatubu Lema
Wizara mambo ya nje
10
Anna Tibaijuka
wizara ya nyumba na makazi
11
Prof. Dr. Kallunde P. S (SUA)
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika
kwani tunachagua wazee wa kanisa?WAPENDA MAENDELEO TUMSAIDIE RAISI WETU KWA KUMPA MAPENDEKEZO YETU ...
Orodha hii indelezwe..
1 John Magufuli Waziri Mkuu 2 Sospeter Muhongo
Nishati Na Madini 3 Samuel Sitta Waziri wa Sheria na Katiba 4 Edward Lowassa
Waziri TAMISEMI 5 Prof Kuzilwa (Mzumbe University) Wizara ya fedha 6 Dr.Harrison Mwakyembe Uchukuzi 7 Mrema Lyatonga Augustino Waziri Mambo ya Ndani 8 Prof. A.W .Mayo (UDSM) Wizara ya maji 9 Prof Ninatubu Lema Wizara mambo ya nje 10 Anna Tibaijuka wizara ya nyumba na makazi 11 Prof. Dr. Kallunde P. S (SUA) Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika
Mrema siku hizi hana meno, hiyo nafasi apewe Deo Filikunjombe
Ndio wasomi wenyewe waliopo