Mapendekezo ya baraza jipya la mawaziri

Masilingi arudishwe apewe waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora,mjuni kataraiha aundiwe wiraza mpya ya uhalishaji wa unywaji wa gongo.
 
WAPENDA MAENDELEO TUMSAIDIE RAISI WETU KWA KUMPA MAPENDEKEZO YETU ...

1 John Magufuli Waziri Mkuu
2 Sospeter Muhongo
Nishati Na Madini
3 Samuel Sitta Waziri wa Sheria na Katiba
4 Edward Lowassa
Waziri TAMISEMI
5Prof Kuzilwa (Mzumbe University) Wizara ya fedha
6 Dr.Harrison MwakyembeUchukuzi
7 Mrema Lyatonga AugustinoWaziri Mambo ya Ndani
8 Prof. A.W .Mayo (UDSM)Wizara ya maji
9 Prof Ninatubu LemaWizara mambo ya nje
10 Anna Tibaijukawizara ya nyumba na makazi
11 Prof. Dr. Kallunde P. S (SUA)Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika
Orodha hii indelezwe..

Mara nyingi Mambo ya nje hupewa mtu kwa ajili ya kumpa exposure ya kugombea urais haitolewi tu hovyohovyo
 
Muhimu sana ni kuwa na mawaziri ambao hawana majimbo ili washughulikie NCHI (badala ya kuhangaikia KURA). Mawaziri wa nanmna hii watawajibika kwa WANANCHI, kupitia Bunge lao. Mara baada ya kuteuliwa, mteule anakuwa mbunge wa kuteuliwa automatically.
 
wapenda maendeleo tumsaidie raisi wetu kwa kumpa mapendekezo yetu ...

1 john magufuli waziri mkuu--abaki ujenzi
2 sospeter muhongo
nishati na madini
3 samuel sitta waziri wa sheria na katiba
4 edward lowassa
waziri tamisemi--hafai kabisa
5prof kuzilwa (mzumbe university) wizara ya fedha
6 dr.harrison mwakyembeuchukuzi--anafaa kuwa waziri mkuu
7 mrema lyatonga augustinowaziri mambo ya ndani--hizi ni ndoto za abunuwasi; acha utani uwe serious kidogo
8 prof. A.w .mayo (udsm)wizara ya maji
9 prof ninatubu lemawizara mambo ya nje; membe bado anaweza sana hapa
10 anna tibaijukawizara ya nyumba na makazi
11 prof. Dr. Kallunde p. S (sua)wizara ya kilimo, chakula na u[url="http://www.saahiihii.com/?lang=lth&section=production&businessno=7273"]shirika[/url]
orodha hii indelezwe..

asharose migiro apewe wizara ya elimu au fedha, mambo ya ndani ya nchi
 
Masilingi arudishwe apewe waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora,mjuni kataraiha aundiwe wiraza mpya ya uhalishaji wa unywaji wa gongo.

Masilingi hana mbavu akae hapo alipo baada ya kupiga magoti na kupewe ...............
 
asharose migiro apewe wizara ya elimu au fedha, mambo ya ndani ya nchi

...hii mambo ya 'kuwapa' watu Wizara ndio inayotudidimiza. Utamaduni wa KUPEANA, mambo ya 'AMEULA' ifike wakati yasahaulike ... including SHEREHE na MASHADA siku ya kuapishwa. Haingii akilini askari anaepewa ukamanda wa kuongoza vita dhidi ya umaskini anafanya sherehe ya 'kushangilia' kukabidhiwa jukumu la ukamanda kwenye eneo fulani, ni Tanzania tu. Na matokeo yake ndio haya.
 
Nakubaliana na wewe tubadilishe jina la nchi basi liitwe kwa mujibu wa wasomi walipo.

Hii ni udini wa kijinga kabisa! Mtoa mada ameacha nafasi wengine nao wataje. Kama una mujahidina wako unayeona ana vigezo, andika jina lake, alichoandika mwenzio ni mawazo yake nawe toa ya kwako...
 
Kuna gazeti limeandika kuwa duru za kisiasa zinawataja Dr. Asha Migiro, Mwigulu Nchemba, Dr. Hamis Kigwangala, Peter Serukamba, Anne Lilango Malecela, James Lembeli na wabunge wengine mwiba kwa CCM kama Kangi Lugola na Deo Filikunjombe.
 
Hahahahahahahhahahhahahahhahaa mbona muslim university of morogoro hujachukua hata msomi mmoja ndio mfumo gani huo ccm jamani???
 
Back
Top Bottom