Omulangira
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 230
- 29
Masilingi arudishwe apewe waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora,mjuni kataraiha aundiwe wiraza mpya ya uhalishaji wa unywaji wa gongo.
Ni baraza la mawaziri au ni kigango?
WAPENDA MAENDELEO TUMSAIDIE RAISI WETU KWA KUMPA MAPENDEKEZO YETU ...
[TABLE="width: 549"]
[TR]
[TD="align: right"]1[/TD]
[TD] John Magufuli[/TD]
[TD] Waziri Mkuu[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]2[/TD]
[TD] Sospeter Muhongo
[/TD]
[TD] Nishati Na Madini[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]3[/TD]
[TD] Samuel Sitta[/TD]
[TD] Waziri wa Sheria na Katiba[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]4[/TD]
[TD] Edward Lowassa
[/TD]
[TD]Waziri TAMISEMI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]5[/TD]
[TD]Prof Kuzilwa (Mzumbe University)[/TD]
[TD] Wizara ya fedha[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]6[/TD]
[TD] Dr.Harrison Mwakyembe[/TD]
[TD]Uchukuzi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]7[/TD]
[TD] Mrema Lyatonga Augustino[/TD]
[TD]Waziri Mambo ya Ndani[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]8[/TD]
[TD] Prof. A.W .Mayo (UDSM)[/TD]
[TD]Wizara ya maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]9[/TD]
[TD] Prof Ninatubu Lema[/TD]
[TD]Wizara mambo ya nje[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]10[/TD]
[TD] Anna Tibaijuka[/TD]
[TD]wizara ya nyumba na makazi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]11[/TD]
[TD] Prof. Dr. Kallunde P. S (SUA)[/TD]
[TD]Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Orodha hii indelezwe..
kwani tunachagua wazee wa kanisa?
wapenda maendeleo tumsaidie raisi wetu kwa kumpa mapendekezo yetu ...
[table="width: 549"]
[tr]
[td="align: Right"]1[/td]
[td] john magufuli[/td]
[td] waziri mkuu--abaki ujenzi[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]2[/td]
[td] sospeter muhongo
[/td]
[td] nishati na madini[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]3[/td]
[td] samuel sitta[/td]
[td] waziri wa sheria na katiba[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]4[/td]
[td] edward lowassa
[/td]
[td]waziri tamisemi--hafai kabisa[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]5[/td]
[td]prof kuzilwa (mzumbe university)[/td]
[td] wizara ya fedha[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]6[/td]
[td] dr.harrison mwakyembe[/td]
[td]uchukuzi--anafaa kuwa waziri mkuu[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]7[/td]
[td] mrema lyatonga augustino[/td]
[td]waziri mambo ya ndani--hizi ni ndoto za abunuwasi; acha utani uwe serious kidogo[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]8[/td]
[td] prof. A.w .mayo (udsm)[/td]
[td]wizara ya maji[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]9[/td]
[td] prof ninatubu lema[/td]
[td]wizara mambo ya nje; membe bado anaweza sana hapa[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]10[/td]
[td] anna tibaijuka[/td]
[td]wizara ya nyumba na makazi[/td]
[/tr]
[tr]
[td="align: Right"]11[/td]
[td] prof. Dr. Kallunde p. S (sua)[/td]
[td]wizara ya kilimo, chakula na u[url="http://www.saahiihii.com/?lang=lth§ion=production&businessno=7273"]shirika[/url][/td]
[/tr]
[/table]
orodha hii indelezwe..
Masilingi arudishwe apewe waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora,mjuni kataraiha aundiwe wiraza mpya ya uhalishaji wa unywaji wa gongo.
asharose migiro apewe wizara ya elimu au fedha, mambo ya ndani ya nchi
Hii ni udini wa kijinga kabisa! Mtoa mada ameacha nafasi wengine nao wataje. Kama una mujahidina wako unayeona ana vigezo, andika jina lake, alichoandika mwenzio ni mawazo yake nawe toa ya kwako...Nakubaliana na wewe tubadilishe jina la nchi basi liitwe kwa mujibu wa wasomi walipo.
Ndio wasomi wenyewe waliopo