Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,660
- 46,350
Iwekwe katika katiba kila wananchi laki 2 wawakilishwe na mbunge mmoja.
Wabunge waliofukuzwa chamani mwao wasiruhusiwe kuendelea kukaa bungeni kwa namna yoyote ile.
- Viti maalum vifutwe
- Ubunge wa kuteuliwa ufutwe
- Wagombea binafsi waruhusiwe
Wabunge waliofukuzwa chamani mwao wasiruhusiwe kuendelea kukaa bungeni kwa namna yoyote ile.