N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Ukweli ni kwamba majanga ya moto kwenye makazi ya watu ni janga ambalo linagharimu sana maisha ya watu hapa nchini kwetu. Ajali za moto zimekuwa zikitokea na kugharimu maisha si tu ya wanafamilia lakini pia kusababisha uharibifu wa mali ya mhusika aliepata ajali na majirani zake.
Mwisho wa siku ajali hizi zikitokea kumekuwa na hasara kubwa ambayo husababisha matatizo makubwa yanayogharimu pia uhai.
Nashauri: Wabunge mpeleke pendekezo serikalini kuwe na bima ya lazima kama ya vyombo vya moto kwenye issue kama hii; au iwe bima ya maisha kuwa lazima. TIRA mnawajibika kwenye hili kuishauri Wizara ili uje muswada kulinda maisha ya jamii zetu.
Mwisho wa siku ajali hizi zikitokea kumekuwa na hasara kubwa ambayo husababisha matatizo makubwa yanayogharimu pia uhai.
Nashauri: Wabunge mpeleke pendekezo serikalini kuwe na bima ya lazima kama ya vyombo vya moto kwenye issue kama hii; au iwe bima ya maisha kuwa lazima. TIRA mnawajibika kwenye hili kuishauri Wizara ili uje muswada kulinda maisha ya jamii zetu.