mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 1,413
- 5,150
Wakati tukiwa njiani kuindea D9 , nivyema tukawakumbuka mashujaa wote walioanguka kwa ajili ya Tanganyika kuanzia Siku ya 29.10.2025 nakuendelea.
Binafsi nitapenda machache yafuatayo yafanyike kuwaenzi wenzetu na sisi wengine tulioko njiani kuwafuata huko waliko kuanzia Siku ya D9 nakuendelea.
1) Pasipo kujali Imani zetu tufanye sala na maombi kuwaombea wapendwa wetu bila kusahau kuomba haki ya Kila marehemu ilipwe kwa matendo yake🙏
2) tusiwashe umeme Siku hiyo usiku , bali tuwashe mishumaa majumbani mwetu mpaka asubuhi , sababu adui yetu alituvizia tukiwa gizani na kututendea mabaya kwa ukatili mkubwa.
3) Zipigwe baruti zaheshima kulingana na Kila mmoja wetu atakavyowiwa kulingana na eneo Siku hiyo itakapo mkuta.
4) Sisi kama waTanganyika nyama iwe haramu kwetu kwa Siku tatu kuanzia tarehe 29/10 mpaka tarehe 02/10 Kila mwaka ili kuwaenzi wenzetu.!
Yangu ni hayo machache ila ninaimani wenye hekima ni wengi humu kuniliko Mimi mwehu , mnakaribishwa kuchangia namna sahihi ya kuwaenzi wenzetu na sisi maana tu njiani
Binafsi nitapenda machache yafuatayo yafanyike kuwaenzi wenzetu na sisi wengine tulioko njiani kuwafuata huko waliko kuanzia Siku ya D9 nakuendelea.
1) Pasipo kujali Imani zetu tufanye sala na maombi kuwaombea wapendwa wetu bila kusahau kuomba haki ya Kila marehemu ilipwe kwa matendo yake🙏
2) tusiwashe umeme Siku hiyo usiku , bali tuwashe mishumaa majumbani mwetu mpaka asubuhi , sababu adui yetu alituvizia tukiwa gizani na kututendea mabaya kwa ukatili mkubwa.
3) Zipigwe baruti zaheshima kulingana na Kila mmoja wetu atakavyowiwa kulingana na eneo Siku hiyo itakapo mkuta.
4) Sisi kama waTanganyika nyama iwe haramu kwetu kwa Siku tatu kuanzia tarehe 29/10 mpaka tarehe 02/10 Kila mwaka ili kuwaenzi wenzetu.!
Yangu ni hayo machache ila ninaimani wenye hekima ni wengi humu kuniliko Mimi mwehu , mnakaribishwa kuchangia namna sahihi ya kuwaenzi wenzetu na sisi maana tu njiani