Kwani haiwezekani?! Nakumbuka miaka michache iliyopita uchumi wa California ulikuwa ni sawa na uchumi wa Ufaransa huku uchumi wa Los Angeles peke yake, ukiwiana na uchumi wa nchi mzima ya Malaysia! Na kwa sasa, nadhani California imeshaiacha Ufaransa including many other developed European countries.Mkuu huyo akili yake ni nyepesi sana. Hivi kweli Unaweza sema uchumi wa mikoa Kama Dar na Mwanza upande kwa asilimia 7 Kama uchumi wa Rwanda kisa idadi ya watu na ukubwa vinakaribiana kulingana?
Dar es salaam kwa mfano, kama haiizidi Zanzibar basi nitashangaa sana.