Mapato ya TRA mwezi Juni yatashuka

Tatizo kubwa linalotuponza Watanzania ni uvivu wa kufikiri unaoambatana na ushabiki potovu. Kama TRA wamekusanya Trillion 1.03 kutoka Trillion 1.35 ya mwezi January iweje tuone hayo ni Mafanikio ? Tatizo hapa nikuwa Serikali inatuambia kuwa hii nchi ni tajiri sana lakini makusanyo ya kodi yanarudi kule kule kwa awamu ya JK ambako wanadai kulikuwa na uzembe katika kukusanya kodi. Sasa hapa badala ya wananchi kuchukua tahadhali, wapo watu wanafanya ushabiki kwa kupotosha ukweli.
 
Kwa hiyo vigezo vya kitaalam vya uchumi vinaonyesha uchumi umeporomoka kwa hiyo mapato yameshuka?
 
Hapo sasa....
Ap
 
Acha kunywa pombe , nikwamba ujui au unania fiche ili kuwachanganya watu, ukitaka kudaganya watu jidanganye ww mwenyewe kwanza , mbona hata ww kujidanganya haujajidanganya
 
Acha kunywa pombe , nikwamba ujui au unania fiche ili kuwachanganya watu, ukitaka kudaganya watu jidanganye ww mwenyewe kwanza , mbona hata ww kujidanganya haujajidanganya
Chama cha walevi kinafahamika.....bungeni na uraiani
 
Mkuu, hizo ni hisia zako tu ila ukweli unabaki kwamba TRA wanakusanya mapato kwa kuvuka malengo yao
Kenya bajeti trillion 55 ya Mwendokasi ya kufikirika 29
NB; Miaka kumi iliyopita bajeti ilikuwa hadithi haijawahi kutekelezwa na hii yaelekea ni huko huko
Pumzika kwa amani Bombambili
 

Acha porojo za kufubaa akili kwa kisingizio cha eti Elimu; Elimu;Elimu.
Ainisha hivyo unavyo viita vigezo vya kitaalam vya kiuchumi kama si kumezeshwa usilo lielewa na kulitafakari kwa uwezo ulio nao.

Hebu rudi kidogo darasani:
Ikiwa miezi minne iliyopita ulikusanya Tshs: 1450/= mwezi unaofuata Tshs: 1350/= baadae ukakusanya Tshs: 1200/= na mwezi huu umekusanya Tshs: 1050/=.
Kama kweli una akili timamu hujiulizi kulikoni na hiyo Elimu. Elimu. Elimu yako.
 
Hizi mada watawala hawazitaki....wanatafuta njia kuzikwepesha
 
Kumbe unahisi na kuombea hayo!! Mi nikajua kuna utafiti na pia tra wamesema!!
 
Mbona ttz inaongeza idadi ya mataila wengi kama nyie? Kisa kikwete alikaa had 2015 so ni haki magu akae 2025? Wewe unajua hta maana ya "haki" kweli????

Kwanza hoja apa ni mapato kushuka msianze kupotezea mada husika.
 
Hizi ramli za chagadema tulishazizoea tokea mwezi January.

Nyumbu kila kukicha wanaombea mabaya nchi yao.

Kwao mtaa wa ufipa ni muhimu kuliko nchi
 
Hizi ramli za chagadema tulishazizoea tokea mwezi January.

Nyumbu kila kukicha wanaombea mabaya nchi yao.

Kwao mtaa wa ufipa ni muhimu kuliko nchi
Kijana wa Lumumba unahangaika kupambana na ukweli....kosoa kwa data
 
Endeleeni kujiaminisha hilo. Mtasugua sana maana Magufuli ni Rais hadi 2025

Ikiwa hivyo bila faida wewe utanufaikaje? Mfano, sukari hakuna au bei inapoongezeka; wewe utakuwa unapata sukari na kwa bei gani? Hakuna asiyetaka hata atawale milele bali tija ya utawala wa mtu iwepo.
 
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…