BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,837
Wakuu,
Jana nilienda sabasaba kuangalia maonyesho ya viwanda, orodha ya viwanda nilivyo vikuta kule:
1. TBC
2. University of Dar es Salaam
3. Waagiza solar kutoka nje ya nchi na kuuza nchini
4. Waagiza incubator na mashine kutoka china kuleta nchini
5. Wauzaji wa bidhaa za kilimo kutoka Kenya
6. Wanaonunua asali wanapack nyumbani na kuja kuuza, hii haina tofauti na vyerehani vinne.
7. Viwanda vya ukweli ni Bakhresa, Nyumbu, watengeneza viatu pamoja na watu wa food processing kama tomato (red gold) nk
Maonyesho haya yaonekane kama changamoto kwa taifa, haiwezekani importers nao waende kwenye maonyesho ya viwanda wakati wao wanaagiza tu na kuuza. Wakuu ukweli ni kwamba Tanzania ya Viwanda bado, hamna viwanda kabisa.
Serikali ipunguze sehemu ya bajeti yake inayotumika kununua wapinzani na hizo pesa wapewe mikopo watu wenye nia ya kuanzisha viwanda.
Jana nilienda sabasaba kuangalia maonyesho ya viwanda, orodha ya viwanda nilivyo vikuta kule:
1. TBC
2. University of Dar es Salaam
3. Waagiza solar kutoka nje ya nchi na kuuza nchini
4. Waagiza incubator na mashine kutoka china kuleta nchini
5. Wauzaji wa bidhaa za kilimo kutoka Kenya
6. Wanaonunua asali wanapack nyumbani na kuja kuuza, hii haina tofauti na vyerehani vinne.
7. Viwanda vya ukweli ni Bakhresa, Nyumbu, watengeneza viatu pamoja na watu wa food processing kama tomato (red gold) nk
Maonyesho haya yaonekane kama changamoto kwa taifa, haiwezekani importers nao waende kwenye maonyesho ya viwanda wakati wao wanaagiza tu na kuuza. Wakuu ukweli ni kwamba Tanzania ya Viwanda bado, hamna viwanda kabisa.
Serikali ipunguze sehemu ya bajeti yake inayotumika kununua wapinzani na hizo pesa wapewe mikopo watu wenye nia ya kuanzisha viwanda.