HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 608
- 557
Inakudhuru nini siuache kuangalia tu!!
Mtu darasa la 7d anakuongoza,lazima akutishe,kuonyesha anao uwezo,ambao kiuhalisia hana ni Africa tu ndo wajinga wanaongoza Wenye akili
Silaha zinazoletwa ni za maonyesho.....hawezi kutia siri zao silaha mpya walizonazo...ingawa data za military wenye kuzitafutavwanazo kila nchi duniani na uwezo wake kivita na silaha walizonaxo....acha waonyeshe za zamani.....adui yako humjui leo jirani siku mkizinguana mnachapana.......Silaha zenyewe wanazo tumia ni za wakat wa Vita kuu ya Pili ya Dunia, Pia Vita isha badilika sana ,nchi zinawekeza sana kwenye sayansi, mambo ya Drone, Cyberwar na kadhalika.JWTZ sidhan kama wana hata Maabara ya utafiti, make kama akili zao nao zinawatuma kujenga Frame basi hakuna kitu pale, wanajua kutafuta sifa mtaani kupiga raia
maigizo ya kijinga sana errors kibao yani pale makomando wangekua wame chapwa shaba wote na panya Road mmoja tu
Njoo uchukue bia zako kumi mkuuNaunga mkono hoja hii, dunia ya sasa ni Drones, F35 etc etc,sisi bado na mig 21,F6!!!
Huo ndo ukweli aisee.. jeshi kama la Taliban huwezi kupambana nalo Kwa vita ya ardhini aisee!Bora tuanze Kupeleka Wanajeshi Wetu wakajifunze mambo ya ground Kwa Hammas, Hauth &Taleban wale ni noma.
Shida hao IDF na wengine ni 🌈,kinachowafanya wa survive ni masilaha mengi vinginevyo hamna kitu.
Unawaza kukandwa tuUnataka waweke movie ya x? Waliopanga hizo drama wanajua nini wanafanya mkuu
Jeshi la nchi gani limefanikiwa kupambana na Taliban na likashinda? US ana Kila kitu lakini wapiiiiiiHuo ndo ukweli aisee.. jeshi kama la Taliban huwezi kupambana nalo Kwa vita ya ardhini aisee!
😂😂😂🙊Unawaza kukandwa tu
👍👏👌🆒Afrika hapa hayo maonyesho hayafai maana ni aibu, yaachwe yafanywe na wababe wa dunia kule majuu maana wao ndio hutunishiana misuli na wana vifaa visivyotia aibu.
Kingine ikumbukwe nchi za majuu hutumia hayo maonyesho kutangaza silaha zao kwa wateja.
Nadhani ni kwasababu Wana courageJeshi la nchi gani limefanikiwa kupambana na Taliban na likashinda? US ana Kila kitu lakini wapiiiiii
Wanauza silaha wewe je?Tumewazidi nini china, Korea na Urusi wanaofanya maonyesho kama haya mpaka tuyapinge?
Nchi ya kishamba sana hii,mm ningefurah sana kama maonyesho kama hayo yangekuwa yanaonesha zana za kijeshi ambazo sisi tumetengeneza kwa technolojia yetu ili wenzetu waone tulivyo na akili ya kiteknolojia cha ajabu tunaonyesha silaha za kizanani ambazo ulimwengu wa teknolojia umeziacha ndio tunaonyesha nchi ya kipoyoyo sana hii.viongoz hawajielewi kbs.Tumeona leo huko zanzibar wanajeshi wakionyesha silaha, ujuzi na mambo mengine..
Hadi leo hawaja wahi eleza maana ya hii michezo, yaamkini baada ya uhuru miaka hiyo yalikua na maana.
Lakini leo ni kujichosha na kupoteza pesa za umma kusafirisha magari na vifaru hadi zanzibar..
Pili ni hatarishi kwa sababu tuna ji expose kwa kiasi gani tupo hoi au vizuri.. kuna adui wanaiogopa Tanzania wakidhani tupo vizuri pengine tuna kimbiza F 16 jets , wanakuja kuona tuna operate vitenge na vifaru vya mrusi vya miaka ya 50.
Ni vyema serikali ikaachana na haya mambo, pia siku kama hizi zitumike kwa mambo muhimu walau hata usafi na upandaji miti.
Siku kama ya leo ya mapinduzi inatumia zaidi ya bil 4 kiasi cha fedha ambacho kinaweza jenga km 4 za lami au hospitalu 2 za wilaya.
Wote tunakumbuka barabara ya morocco hadi mwenge ilivyo jengwa kwa fedha za uhuru.