Maono ya Kikwete Yatimia Misri

Maono ya Kikwete Yatimia Misri

kingukitano

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
1,971
Reaction score
497
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

learn/remember the use of comma, fullstop, exclamation marks, question marks etc. your Score: 15%.+ 5 strokes!!!!!!
See me!!!!!!!!!!!!!!??????????????????
 
Ni heri jeshi litawale kuliko serikali ya CCM maana tunajua siku jeshi litakapoamua kurejesha utawala wa kiraia, kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki. Hakutakuwa na tume ya Uchaguzi ya CCM wala wachakachuaji wengine wa CCM.
 
Ni heri jeshi litawale kuliko serikali ya CCM maana tunajua siku jeshi litakapoamua kurejesha utawala wa kiraia, kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki. Hakutakuwa na tume ya Uchaguzi ya CCM wala wachakachuaji wengine wa CCM.
Niliishi siku tatu bila microwave. Unaweza kuona ni jambo la kipuuzi, ila ilibidi nikainunue chapchap.
Moral of the story .... kuna uhuru ulionao, ukiukosa utaona maisha ni magumu sana, ingawa ukiwa nao huoni umuhimu wake.
Chonde chonde kaka!
 
Niliishi siku tatu bila microwave. Unaweza kuona ni jambo la kipuuzi, ila ilibidi nikainunue chapchap.
Moral of the story .... kuna uhuru ulionao, ukiukosa utaona maisha ni magumu sana, ingawa ukiwa nao huoni umuhimu wake.
Chonde chonde kaka!
Uhuru gani wa kufisidiwa kila uchao? Hivi kuna uhuru kweli chini ya utawala wa CCM? Mimi ninaona huyo ni mkoloni mweusi. Tulifukuza mweupe sasa tunatawaliwa na mweusi. Uhuru wa kweli tutaupata siku CCM itakapong'olewa madarakani.
 
Uhuru gani wa kufisidiwa kila uchao? Hivi kuna uhuru kweli chini ya utawala wa CCM? Mimi ninaona huyo ni mkoloni mweusi. Tulifukuza mweupe sasa tunatawaliwa na mweusi. Uhuru wa kweli tutaupata siku CCM itakapong'olewa madarakani.

We boya baada ya kupambana na maisha ww unalalamika tu fursa ziko mingi sana sasa ww endelea kudanganywa na kina slaa huku wenyewe wanakula gud lyf
 
Niliishi siku tatu bila microwave. Unaweza kuona ni jambo la kipuuzi, ila ilibidi nikainunue chapchap.
Moral of the story .... kuna uhuru ulionao, ukiukosa utaona maisha ni magumu sana, ingawa ukiwa nao huoni umuhimu wake.
Chonde chonde kaka!

Shukrani mkuu... huwezi kuona umuhm wa kitu pindi unacho ila kikutoke ndo utajua umuhm wake..
 
Ujui kinachoendelea Misri na hatima ya Misri ya baadae ,kwakua uangalii mbali utakubali na kuamini mipasho ya Jeikei na mtamuita kwa majina mengi sana ila tambueni kua kinachoendelea Misri ipo under C.I.A strategic mission ya kusilent Arabs regimes na kuwaweka puppets zao , time will tell.
 
JK kwa taarifa yako jeshi kukamata dola is a lesser evil. CCM is a big let down.
 
Mleta thread uko na IQ ndogo mbona hii kitu ipo na imefanyika zaidi ya miaka elfu moja iliyopita. Jitahidi kusoma na kusikiliza taarifa mbalimbali, JK ni below ordinary when it comes to visión.
 
Ni heri jeshi litawale kuliko serikali ya CCM maana tunajua siku jeshi litakapoamua kurejesha utawala wa kiraia, kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki. Hakutakuwa na tume ya Uchaguzi ya CCM wala wachakachuaji wengine wa CCM./!QUOTE]

Khaa!!! Kudadadeki kumbe mijinga ipo mingi humu
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

rasim inapendekeza wizara ngapi?
 
Mbona haya yamefanyika miaka nenda miaka rudi?

Balozi wa Misri kama alikuwa anasikiliza na kuandika kwao kwamba JK kakandia wanajeshi wanaokuja kuwa marais wa kiraia baada ya kupindua nchi, uhusiano wa Tanzania na Misri si utakuwa ushaingia matatani?
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

FYI ya huyo ya Mwanajeshi wa Misri ilikuwa inajulikana hata kabla ya KIKWETE kuwaambia Wananchi Msiopenda kufuatilia Masuala ya kimataifa wenyewe mpaka muambiwe na RAIS wenu

Na Issue ya JESHI LA MISRI kuchukua Madaraka sio kwasababu ya kushindana kukubaliana kurekebisha katiba ni UONGOZI ulioshinda kwa VINDEMBWE kuwanyima haki WaMISRI wote yaani wa DINI KABILA na HULKA MBALIMBALI

Wao walitaka kuifanya MISRI isiwe SECULAR STATE kama ilivyokuwa; Walitaka iwe ya KIDINI ya KIISLAMU na pia walitaka kuvunja Mikataba yote walionayo na ISRAEL aliyosaini Rais Anwar Sadat na Begin

Kwahiyo JARIBU kufuatilia kidogo INTERNATIONAL AFFAIRS Uweze kuelewa VIZURI kabla ya kurukia HABARI hivyo hatutafika...



c.c kingukitano
 
We boya baada ya kupambana na maisha ww unalalamika tu fursa ziko mingi sana sasa ww endelea kudanganywa na kina slaa huku wenyewe wanakula gud lyf

Kunawatu ambao hajali maisha ya wengine au hawayaoni matatizo ya watu wengine. hivi mtoto wamasikini anaona bongo fursa ziko mingi kama unavyosema.au fursa unazoongelea ni kuimba bongo flava na kubeba madawa ya vigogo. shule za serekali hakuna elimu, ukiugua mtoto wa masikini hosipitali za sereka ndio pakufia. baati mbaya na raisi wa nchi anafikiria kama wewe ndio maana hajui kwanini nchi tajiri lakini kuna masikini wengi. mungu akusaidie usije amka sikumoja masikini uanze upya maisha.
 
Ni kweli nchi kutawaliwa kijeshi hakutakuwa na uhuru tulionao lakini tutaweza kuzoea haraka sisi wananchi wa kawaida, lakini nyinyi mnaoinyonya nchi hii ndo mtaumia zaidi kwani na nyinyi mtaanza kupata maumivu mnayowapa wapinzani wenu kisiasa.
 
Back
Top Bottom