Maoni yangu kuhusu uchawi na kifo cha msanii Sam

Maoni yangu kuhusu uchawi na kifo cha msanii Sam

Wabongo kwa kujivisha umbumbumbu hamjambo!!!! Hakuna kitu kinachoitwa kurogwa
 
Ingawa uchawi upo lakini kwa huyu msanii inawezekana ni tatizo jingine. Wasanii huwa wanajisahau sana ktk mtindo wa maisha.
 
Apumzike Kwa Aman Sam.

sasa mim mkuu niliota ndoto mwezi mmoja ulopita, kwny ndoto nakua naangalia angani then naona nyota tatu zinatembea kwa mfuatano na katika direction moja, katika hzo nyota, ya mbele ni nyota flan yenye mwanga wakufifia, lakini mbili za nyuma ni kubwa kiasi zimeng'aa sana tena sana, kitu kama hicho nimekiota tena wiki iliopita,

na jambo lingine ni kwamba mara nying ninapokua nimeka eneo flan au natembea sehem peke yangu huwa nahis kabisa pemben yangu au maeneo niliopo pananyoka

Tafsiri tafadhali kwa yeyote mwenye idea na hicho nilichokiota, ntashukuru,
 
Mungu yupo tena ana uweza na shetani yupo ambaye anaendesha miradi yote ya uharibifu kwa wanadamu na viumbe wengine,

miradi hiyo ni kama vile urogaji, uchawi, miujiza feki n.k

BWANA MUUMBAJI NI KIBOKO YA UCHAWI.
 
Apumzike Kwa Aman Sam.

sasa mim mkuu niliota ndoto mwezi mmoja ulopita, kwny ndoto nakua naangalia angani then naona nyota tatu zinatembea kwa mfuatano na katika direction moja, katika hzo nyota, ya mbele ni nyota flan yenye mwanga wakufifia, lakini mbili za nyuma ni kubwa kiasi zimeng'aa sana tena sana, kitu kama hicho nimekiota tena wiki iliopita,

na jambo lingine ni kwamba mara nying ninapokua nimeka eneo flan au natembea sehem peke yangu huwa nahis kabisa pemben yangu au maeneo niliopo pananyoka

Tafsiri tafadhali kwa yeyote mwenye idea na hicho nilichokiota, ntashukuru,

Acha kuishi kwa hofu wewe yaani achaaa!!.. ungeota unakula chips kuku ungeona kawaida ila umeota nyota unaanza kujitia hofu!!!.. ndoto ni ndoto tu mzee badilika utaibiwa
 
Back
Top Bottom