Masai wa Town
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 6,542
- 23,859
Zamani Polisi waliajiriwa wenye elimu ndogo kwa sababu ya uhaba wa wasomi.
Nashauri Serikali itenge bajeti ya kuwaendeleza maaskari waliopo kazini angalau wawe na Diploma mbalimbali zinazohusiana na majukumu yao ili iwe rahisi kufanya kazi kwa logic na siyo kwa inferiority complex na nguvu pasipohitajika nguvu.
Kwa intake mpya ya Polisi waajiriwe wenye elimu na siyo waliofeli O-level maana Tanzania kwa Sasa Kuna wasomi wa kutosha.
Nawasilisha
Nashauri Serikali itenge bajeti ya kuwaendeleza maaskari waliopo kazini angalau wawe na Diploma mbalimbali zinazohusiana na majukumu yao ili iwe rahisi kufanya kazi kwa logic na siyo kwa inferiority complex na nguvu pasipohitajika nguvu.
Kwa intake mpya ya Polisi waajiriwe wenye elimu na siyo waliofeli O-level maana Tanzania kwa Sasa Kuna wasomi wa kutosha.
Nawasilisha